Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,021
- 156,487
Mzee Makongoro alikuwa ni mwalimu wa Kwaya ya Vijana ya TANU ambayo ilivuma Sana kwa nyimbo za asili na nyimbo zake zilipata umaarufu mkubwa Sana miaka ya sabini na themanini kupitia vipindi mbalimbali vya redio kama TUIMBE SOTE na kipindi cha TUMBUIZO ASILIA kilichokuwa kikirushwa hewani na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na kikitangazwa na hayati Michael