Vituko vya madereva: Wimbo wa Umoja wa Vijana Tanu na Mzee Makongoro

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
75,021
156,487
Mzee Makongoro alikuwa ni mwalimu wa Kwaya ya Vijana ya TANU ambayo ilivuma Sana kwa nyimbo za asili na nyimbo zake zilipata umaarufu mkubwa Sana miaka ya sabini na themanini kupitia vipindi mbalimbali vya redio kama TUIMBE SOTE na kipindi cha TUMBUIZO ASILIA kilichokuwa kikirushwa hewani na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na kikitangazwa na hayati Michael

 
Ni wimbo wa Makongoro, nyimbo za Ngw'namila (Mwinamila), zilikuwa za Kisukuma.
P
Asante sana. Halafu kuna ule wimbo wa kisukuma wa mwaka 1987 Sabasaba Shinyanga. Ukulima wa kisasa balimi mwangalile kwanza malali...
Sijui kama nimepatia hayo maneno. Nadhani wa Mwinamila
 
Mzee Makongoro alikuwa ni mwalimu wa Kwaya ya Vijana ya TANU ambayo ilivuma Sana kwa nyimbo za asili na nyimbo zake zilipata umaarufu mkubwa Sana miaka ya sabini na themanini kupitia vipindi mbalimbali vya redio kama TUIMBE SOTE na kipindi cha TUMBUIZO ASILIA kilichokuwa kikirushwa hewani na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na kikitangazwa na hayati Michael

View attachment 2041686
Heshima kwako mkuu nimekubali wewe ni maji ya kina kirefu
 
Mzee Makongoro alikuwa ni mwalimu wa Kwaya ya Vijana ya TANU ambayo ilivuma Sana kwa nyimbo za asili na nyimbo zake zilipata umaarufu mkubwa Sana miaka ya sabini na themanini kupitia vipindi mbalimbali vya redio kama TUIMBE SOTE na kipindi cha TUMBUIZO ASILIA kilichokuwa kikirushwa hewani na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na kikitangazwa na hayati Michael

View attachment 2041686
Huo wimbo ulikuwa wa Mzee Makongoro kweli (siyo Ng'winamila), ambaye baadaye aligongwa na madereva hao hao aliowaimba.
 
Mzee Makongoro alikuwa ni mwalimu wa Kwaya ya Vijana ya TANU ambayo ilivuma Sana kwa nyimbo za asili na nyimbo zake zilipata umaarufu mkubwa Sana miaka ya sabini na themanini kupitia vipindi mbalimbali vya redio kama TUIMBE SOTE na kipindi cha TUMBUIZO ASILIA kilichokuwa kikirushwa hewani na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na kikitangazwa na hayati Michael

View attachment 2041686
Yaani kuja tena kuisikia hii classic imeniweka pahali yake.....nitaanza kuwapotezea....
Maana huwa wananitia hasira nakuwa na matusi njia nzima mpaka najisahau, na kuna siku nipo mama yangu mzazi kwenye gari yakanitoka matusi machafu na kushuka kutaka kumtoa mtu nyongo na bisibisi...
baadae nikajiona mjinga kabisa, sitasahau...
 
Yaani kuja tena kuisikia hii classic imeniweka pahali yake.....nitaanza kuwapotezea....
Maana huwa wananitia hasira nakuwa na matusi njia nzima mpaka najisahau, na kuna siku nipo mama yangu mzazi kwenye gari yakanitoka matusi machafu na kushuka kutaka kumtoa mtu nyongo na bisibisi...
baadae nikajiona mjinga kabisa, sitasahau...
Unaendesha guta?
 
A real Classic tune
Mzee Makongoro alikuwa ni mwalimu wa Kwaya ya Vijana ya TANU ambayo ilivuma Sana kwa nyimbo za asili na nyimbo zake zilipata umaarufu mkubwa Sana miaka ya sabini na themanini kupitia vipindi mbalimbali vya redio kama TUIMBE SOTE na kipindi cha TUMBUIZO ASILIA kilichokuwa kikirushwa hewani na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na kikitangazwa na hayati Michael

View attachment 2041686
 
Hakuwasimanga, alichofanya ni kutumia kipaji chake cha usanìi kutunga wimbo (siku hizi mnaita nyimbo) baada ya hotuba ya Nyerere.

Maneno yote kwenye wimbo yalikuwemo kwenye hotuba ya Nyerere.

Hotuba nzuri sana kuhusu utunzaji wa mali za umma unayoweza kuipata TBC ukiihitaji.
Asante sana
 
Back
Top Bottom