Kufuatia Sekeseke la udini baada ya Waziri wa kilimo Hussein Bashe kusema Kufikia Ramadhani sukari itakuwepo, Mwanasheria na mwanaharakati Fatma Karume amemshauri Bashe kutotatua uhaba wa sukari nchini.
Kauli hiyo ameitoa kwenye ukurasa wake wa "X",
"Ushauri wangu kwa Bashe: “Kifo cha wengi harusi!”.
Hakikisha hakuna SUKARI mwezi wa Ramadhan ili kuwe na HARUSI wa UHABA!
Nchi ina VIUMBE hii. No logic whatsoever." - Fatma Karume
Fatma ameitoa kauli hiyo baada ya waumini wa Dini ya Kikristo kutofurahishwa na uwepo wa Sukari kipindi cha mfungo wa Ramadhani ilhali Kwaresma hakuna sukari inayotosheleza.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Kauli hiyo ameitoa kwenye ukurasa wake wa "X",
"Ushauri wangu kwa Bashe: “Kifo cha wengi harusi!”.
Hakikisha hakuna SUKARI mwezi wa Ramadhan ili kuwe na HARUSI wa UHABA!
Nchi ina VIUMBE hii. No logic whatsoever." - Fatma Karume
Fatma ameitoa kauli hiyo baada ya waumini wa Dini ya Kikristo kutofurahishwa na uwepo wa Sukari kipindi cha mfungo wa Ramadhani ilhali Kwaresma hakuna sukari inayotosheleza.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️