Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,139
- 3,000
Siku mbili nyuma nilipanda Eicher kutoka Mpanda kwenda Uvinza, kwa kipande kile cha lami cha kilomita kama 30 hivi alikua anatembea above 90km/hr..... Mkuu mbona ni rahisi sana kujua!?
January hii iliyoisha Kuna mabasi ya Dar kwenda Mbeya yamepita Makambako saa kumi kasoro au na dakika chache....
Sauli &Goldeer kuingia Mbeya saa 12 ama 11 imekuwa kawaida yao.