Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Daaaa mkuu yaani umelenga pale pale na mimi ndio majibu niliyokuwa nasubiria ndio raha za mimama hiyo,Yaani wanakubembeleza kama mtoto mchanga ndio mambo ya kisasa hayo sio kuchukua vibinti alafu vinaanza kukusumbua akili maana ukiwa naye unatulia kabisa hamna tatizo kabisa zaidi ya kula raha tu mabinti hawa kidogo kila ijumaa twende shopping sasa ni nini hiii????
We kijana ulikuwa na majibu tayari, hapa ulikuwa unaomba support or confirmation of the reasons you have! Pili kijana inaonekana tayari umezama huko kwa mijimama au kama bado unampango wa kuzama huko kwa kukwepa gharama!
Watch out, cheap is always expensive......unahitaji kuwa na macho ya ndani before u make decisions!