Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
yaani nimecheka sana tena kwa sauti sasa hapo nepi anashangaa kichina mpaka kakunya uso tehtehetehteHa ha haa NYINYIEMU........Hapa unabomu FLANAZ
yaani nimecheka sana tena kwa sauti sasa hapo nepi anashangaa kichina mpaka kakunya uso tehtehetehteHa ha haa NYINYIEMU........Hapa unabomu FLANAZ
yaani nimecheka sana tena kwa sauti sasa hapo nepi anashangaa kichina mpaka kakunya uso tehtehetehte
Kwanza hujajua tv ni aina gani na nchi ngapi unakimbilia kusema umedanganywa acha hiyo maneno broRuninga 10 milioni 9? Kweli wanasiasa mmezidi sasa,tv zenyewe za china halafu mwatudaganya kitoto hv?
View attachment 67228Bora ya huyu.duu!!! yaani ndo kaona ni kipaumbele kununua T.V nakuziweka sokoni ,huyu kamanda mbaya, yaani ni noma!! waekee na pooltable mzee.....usisahau mahospitalini maana wagonjwa na wao wanahitaji mahabari ya kutwa nzima huku wakiwa ktk dozi zao......ila bora wewe kuliko kamanda mwenzio wa ARUSHA yeye huwa anawanunulia viroba baadhi ya wapiga kura wake!!! ...........hii ndo chadema bana!!!
IJUMAA, OCTOBA 05, 2012 05:55 NA DOROTHY CHAGULA, MUSOMA
MBUNGE wa Musoma Mjini, Vicent Nyerere (CHADEMA), amekabidhi runinga 10 kwa wafanyabiashara wa soko kuu la Musoma mkoani Mara. Mbunge huyo alikabidhi runinga hizo jana, zenye thamani ya Sh milioni 9, katika eneo la ndani ya soko hilo lenye wafanyabiashara wengi.
Nyerere alisema kuwa, wafanyabiashara wa sokoni wamekuwa wakikosa haki ya kupata habari za uhakika, kutokana na kushinda kutwa nzima sokoni.
Wafanyabiashara wa sokoni ni watu wa kuhangaika, hawana televisheni katika maeneo yao ya kazi na wanaporudi nyumbani, hupata habari za kusikia kwa watu, alisema.
Amesema runinga hizo zitawasaidia kupata habari za mambo mbalimbali yanayoendelea nchini, ikiwa ni pamoja na uendeshwaji wa vikao vya Bunge.
Wanapitwa na mambo mengi, vikao vya Bunge huanza asubuhi muda ambao wafanyabiashara hawa wapo sokoni, wanakosa haki ya kupata habari, alisema.
Akipokea runinga hizo kwa niaba ya wafanyabiashara, Ofisa Biashara wa Manispaa ya Musoma, God Machumu, alimpongeza mbunge huyo kwa kutimiza ahadi yake kwa wananchi.
Mbali ya kupokea runinga hizo, wafanyabiashara hao walimweleza mbunge huyo changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo katika soko hilo.
Miongoni mwa changamoto hizo, ni pamoja na usumbufu nyakati za masika, kutokana na soko hilo kujaa maji, hali inayosababishwa na soko hilo kukosa mitaro ya maji.
Tatizo la ulinzi katika soko hilo limeelezwa kuwa, kikwazo katika maendeleo ya wafanyabiashara hao kwa madai kuwa, wamekuwa wakiibiwa mali zao kutokana na kutokuwepo kwa ulinzi wa kuaminika.
Precise pangolin?precisely mkuu!
Sasa unawashwa nini? Si uende mahakamani?Wacha uongo hizo bei za Sony ndio kanunua Vicent Nyerere, bei yake bongo milioni 1.2 hawezi kununua, amenunua kachala za China Sony Sh300,000 kila runinga moja.
Je, maisha bora kwa kila Mtz yataondolewa na kupewa kofia na kanga au elimu kwanza?! Sometimes Mzee wa nywere nyeupe yupo sahihi anapoipinga propaganda ya mtoto wa mkulima ya kilimo kwanza. Kumbuka habari ni elimu tosha ya kupiga hatua.Hivi tatizo la wananchi wa Musoma Mjini ni runinga.
Wacha uongo hizo bei za Sony ndio kanunua Vicent Nyerere, bei yake bongo milioni 1.2 hawezi kununua, amenunua kachala za China Sony Sh300,000 kila runinga moja.
Runinga 10 milioni 9? Kweli wanasiasa mmezidi sasa,tv zenyewe za china halafu mwatudaganya kitoto hv?
Wacha uongo hizo bei za Sony ndio kanunua Vicent Nyerere, bei yake bongo milioni 1.2 hawezi kununua, amenunua kachala za China Sony Sh300,000 kila runinga moja.