johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,012
- 142,044
Jana Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni alifanya ukaguzi wa Soko zima na kuahidi kurudi tena hivi karibuni kukutana na Wafanyabiashara Wote kuwaeleza Mpango wa Serikali wa kuliboresha Soko hilo la Tegeta Nyuki
Habari zinasema litajengwa Soko Jipya la Kimataifa na Mbunge wa Kawe Askofu Dr Gwajima PhD ndiye anayefuatilia kwa karibu uboreshaji huo
Nawatakia Sabato njema 😀
Habari zinasema litajengwa Soko Jipya la Kimataifa na Mbunge wa Kawe Askofu Dr Gwajima PhD ndiye anayefuatilia kwa karibu uboreshaji huo
Nawatakia Sabato njema 😀