OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Mkuu tunakutegemea kwa update, nipo hapa corner nirobi nimekutana na lori na cruisers zikitokea Monduli kuelekea Arumeru. Watu waliobebwa kwenye Lori wanaonekana wamechoka sana.
Nina wasiwasi watu hawa wanaobebwa na malori ndio huwa badae wanakuja pia kupiga kura bila kustahili wafuatiliwe