Mkuu Avatar yako tu! Umemfunika Rejao wa Magamba Kinoma!Viherere hawakosagi..hata hapa Bukoba waliondoka juzi kuja huko........eti ni wajumbe......mjue hao wanakuja kupewa shahada zilizonunuliwa kuwapigia kura Magamba.
likuwa fair nitawaletea picha za uzinduzi wa CCM...kama kuna ambae ameshafika sehemu ya tukio atupie hapa....
mkapa amefika hapa arusha jana jioni,nimeambiwa na mdau mmoja hapa
hapa USA River ndio siseme,hapatoshi nyomi ya mtu hata sehem ya kupishana hakuna
Siku zote mtaji wa ccm ni wajinga! wanawasomba watu, lakini chadema watu wanaenda kwa gharama zao.Mimi niko hapa maeneo ya mianzini imepita kenta wamejazwa wamama walovaa nguo za kijani na njano nao wanapelekwa kuzindua Arumeru...
hawa nasikia wamezolewa maeneo ya ungaltd.
naona umeona