only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Ili kuwa fair nitawaletea picha za uzinduzi wa CCM...kama kuna ambae ameshafika sehemu ya tukio atupie hapa....
Picha zinaonyesha hali si njema.....
Ili kuwa fair nitawaletea picha za uzinduzi wa CCM...kama kuna ambae ameshafika sehemu ya tukio atupie hapa....
Tunawashukuru kwa dhati Wana Arumeru wote wake kwa Waume kwa kukiunga Mkono chama Tawala CCM katika uzinduzi wakw wa kampeni kwa jinsi mlivyojitokeza kwa wingi ni Ishara ya ushindi kwa CCM. CCM Daima mwanzo mwisho
Tunawashukuru kwa dhati Wana Arumeru wote wake kwa Waume kwa kukiunga Mkono chama Tawala CCM katika uzinduzi wakw wa kampeni kwa jinsi mlivyojitokeza kwa wingi ni Ishara ya ushindi kwa CCM. CCM Daima mwanzo mwisho
View attachment 49168Maggamba!!
kweli kwa uchakachuaji huu nakubali ni nyomi la photoshop.CDM bana sijui wanamdanganya nani ebu anagilieni nyumi ilo.
ni kweli kabisakwa upande wa huku kaskazini wapare bado wanahitaji elimu ya uraia wabadilike na kuzijua haki zao na hatimaye kujiunga na wana mabadiliko, huu mvumo wa mageuzi unaoongozwa na cdm bado haujapenya masikioni pao kabisa!!