Si vibaya wakifika hata 10... Kama utaitaji msaada ni PM, nitajitolea.
Great achievement.. Congratulations...
Can you pls add gender button too... like blue for Gents and Pink for Ladies? sometimes it is confusing while discussing topic with member by just guessing their genders...
Thank you
Ni pendekezo jema, litafanyiwa kazi haraka!Ni ukweli usiopingika kwamba wadau wengi wa JF wako dar,kwa mantiki hiyo ni bora uzinduzi huu,uambatane na kuwaalika wanachama wa Dar es Salaam, na wa mikoa jirani hii yaweza kusaidia kwa wanachama tutakaoukutana kuchangia na kujuana kiundani zaidi.
Where is Ole & Mbu
He once was a moderator (Mbu) but not now. Ole pia aliwahi kuwa moderator lakini kwa sasa si moderator tena.Nilikuwa nahisi Mbu ni Moderator wa JF. Kwa jinsi alivyoandika katika "thread" fulani na kisha ikafungwa.
Katika Media nadhani zote kuna kitu kimoja almost ni common; kulinda source ya info kwa kila hali. Kila anayefikisha ujumbe lazima alindwe na kuhakikisha kuwa hatasumbuliwa kwa namna yoyote iwayo. Ndio maana sometimes unaona naweka data kadhaa hapa, hizi si kuwa nakuwa nazo mimi binafsi, ni watanzania wanaziwasilisha kwetu, tunazi-review kisha kuona zinafaa kushirikishwa kwa wana JF na watanzania kwa ujumla au vipi.....mimi naona kutokana na jinsi hii forum inavyoendeshwa redio au gazeti ndio ideal, lakini wachangiaji wote wawe wanapeleka contact zao kwa JF (may be we call JF Media) na JF haitadiscslose hizo contacts isipokuwa pale itakapo hitaji kuwasialiana na mhusika katika kupata clarifications.....
otherwise Bravo!!!!
Mkuu Kingi, bonyeza Username yangu utajikuta umeenda link hii: https://www.jamiiforums.com/members/invisible.htmlKuna suala moja nilipendekeza, nalo linahusu kutambua na kupewa taarifa ni thread gani ulichangia, maana yaweza kuwa umetuma post nyingi kwa topic tofauti. Pia inawezekana kuna mdau aliuliza swali likataka jibu na ww hujaingia kwenye topik iliyouliziwa swali. Angalau nimeeleweka kidogo
Mkuu Kingi, bonyeza Username yangu utajikuta umeenda link hii: https://www.jamiiforums.com/members/invisible.html
Sasa basi, chini kwenye hiyo link utakuta kuna sehemu imeandikwa STATISTICS hapo ndipo pana maelezo yote:
Find all posts by Invisible
Find all threads started by Invisible
Kwa njia hiyo mimi binafsi nitaweza ku-recall wapi nimeandika na ukifanya vilevile kwa username yako utapata kitu kilekile!
Hongera wote mnaofanikisha JF iweze kuwa live...!!!
ila tunavyooelekea...au tulipofikia Invisible hata kuwa tena invisible ktk maana ile ya Awali...!!!
asante sana uongozi wa jf.
pendekezo langu kwa vile April ndio uzinduzi rasmi unafanyika,mnaonaje mwezi mzima wa April tutembeze harambee ya changia JF kwa chochote kile mtu alichokuwa nacho wanachama wote kwa ujumla na wageni ? Harambee hiwe inakumbushwa kila siku mpaka mwezi utakapomalizika.
ni wazo tu kama itawezekani na najua hipo thread ya kuchangia lakini kampeni kama hizi huwa zinasaidia mda mwingine huku tukiwa tunaendelea na michango ya kawaida.