Uwekaji wa password kwenye simu kwa wapenzi/kwenye ndoa

Jamani mie nina ugomvi na mtu wangu yaani password simu zote ya kazini na yakwake yaani ananikera sana najua naibiwa tu ila sina jinsi

Unataka kugusa simu ya mwenzio ili iweje? Unataka kuachana nae? Kama huna nia ya kuachana nae, we tulia tu na jiamini. Kaa na simu yako na yy na ya kwake, afterall ni za MKONONI sio mezani. Kama ameweka passwd ambazo ww huzijui, maana yake hataki uumie-he cares about you (the glass is half full, rather than half empty)!
 
Unataka kugusa simu ya mwenzio ili iweje? Unataka kuachana nae? Kama huna nia ya kuachana nae, we tulia tu na jiamini. Kaa na simu yako na yy na ya kwake, afterall ni za MKONONI sio mezani. Kama ameweka passwd ambazo ww huzijui, maana yake hataki uumie-he cares about you (the glass is half full, rather than half empty)!

So nia ya madhumuni ya wanandoa kuweka password ni kwamba anampenda sana mwenziwake? au ana msaliti mpenzi wake?
 
Simu si lazima kuwa na password. Lazima ni heshima unayojiwekea kwa mumeo/mkeo.

Si vyema wala uungwana ukikuta simu ya mwenzio wewe uanze kuipekua. Na afanyae hivyo ina maana hana imani na mwenzie wala naye mwenyewe hajiamini.
 
Unataka kugusa simu ya mwenzio ili iweje? Unataka kuachana nae? Kama huna nia ya kuachana nae, we tulia tu na jiamini. Kaa na simu yako na yy na ya kwake, afterall ni za MKONONI sio mezani. Kama ameweka passwd ambazo ww huzijui, maana yake hataki uumie-he cares about you (the glass is half full, rather than half empty )!
Watu bwana kwa vimisemo vya kujustify vitendo viovu!!!!! msemo mzuri thou
 
Jamani kuna umuhimu wowote simu za wapenzi wawili kuwana na password? let say mke na mme au mtu na mchumba wake wanaulazimu wa kuweka password?


Uaminifu ni kitu muhimu sana once unapoamua kuwa na mume/mke. Ukishaamua kuwa committed ni lazima kuwe na uwazi ktk mambo yako yooooooooooote unayoyafanya...........lakini ukianza mara PW mara simu ikipigwa unakimbilia chooni, mara simu iko kwa silent mode, lazima mambo hayo yatarise curiosity kwa upande wa pili na kuanza maswali mengi yasiyo na majibu.
 
password ni muhimu sana na haiwekwi kwa sababu ya msg ama call records pekee, ni kwasababu sa privacy hebu chukulia simu imeibiwa na jamaa ana temper na private msg ama documents zako.
 
ndiyo,ili kupunguza mimgogoro isiyo kuwa ya lazima,kama wrong sms
 
inategemea hao wapenzi wanaelezana vipi kuhusu simu zao,
kama nilipigwa stop toka mwanzo nisishike simu kwa nn nihangaike nayo
hata iwe/isiwe na password sitafahamu kwani sishiki ng'oo
 
<p>kwa hiyo zipu ya mume wangu binafsi nisiiguse?mi nilishakuta password wala sikumuuliza.nikaweka password kila mahali.alitoa siku ya pili.hata kama u ar fooling around u should do ur homework bana.mnajifanya hamuangaliagi simu zetu,tofauti ni kuwa nyie mnaangalia kwa siri sisi tunakagua mbele yenu,period.kama hakuna wivu hakuna mapenzi hapo!</p>
<p>&gt;
Password ni kama zipu kila mtu anafunga yake na kuifungua kw awakati wake&lt;/p&gt;</p>
<p>&lt;p&gt;&amp;nbsp;&lt;/p&gt;</p>
<p>&lt;p&gt;iweboju
&lt;/p&gt;</p>
<p>&lt;p&gt;&amp;nbsp;&lt;/p&gt;</p>
 
Kumbe nao wanakagua. Aaah


<p>kwa hiyo zipu ya mume wangu binafsi nisiiguse?mi nilishakuta password wala sikumuuliza.nikaweka password kila mahali.alitoa siku ya pili.hata kama u ar fooling around u should do ur homework bana.mnajifanya hamuangaliagi simu zetu,tofauti ni kuwa nyie mnaangalia kwa siri sisi tunakagua mbele yenu,period.kama hakuna wivu hakuna mapenzi hapo!</p>
<p>&gt;&lt;/p&gt;</p>
<p>&lt;p&gt;&amp;nbsp;&lt;/p&gt;</p>
 
<p>kwa hiyo zipu ya mume wangu binafsi nisiiguse?mi nilishakuta password wala sikumuuliza.nikaweka password kila mahali.alitoa siku ya pili.hata kama u ar fooling around u should do ur homework bana.mnajifanya hamuangaliagi simu zetu,tofauti ni kuwa nyie mnaangalia kwa siri sisi tunakagua mbele yenu,period.kama hakuna wivu hakuna mapenzi hapo!</p>
<p>&gt;&lt;/p&gt;</p>
<p>&lt;p&gt;&amp;nbsp;&lt;/p&gt;</p>
Wifi embu wape somo hawa majamaa....wanaficha ya kwenye simu wakati vyenye thamani vipo kwenye suruali na hawafichi!!
 
...simu ya kwake. hata alifungia kufuli
cell-phone-lock.jpg

ni sawa tu, si ya kwake? ...Invasion of privacy yana kikomo chake bana.
Hata mimi sipendi na wala sitaki kuulizwa yaliyomo kwenye simu yangu.
 
Back
Top Bottom