Uwekaji wa password kwenye simu kwa wapenzi/kwenye ndoa

nawaonea huruma wanawake na wanaume ambao wako kny situation kama hii ni obviously wanaamini hawawezi kumove on bila huyo mtu,mtu kuweka password ni dalili huyo mtu anacheat mie siamini kuna senstive information ambazo hata mkeo wa ndoa unaamini hatakiwi azione!,huu ni upuuzi mtupu...kwa kweli mie akiweka password nitampa ultimatum achague mie au simu?obviously simu= kimada!so uamuzi ni wake!
 
nawaonea huruma wanawake na wanaume ambao wako kny situation kama hii ni obviously wanaamini hawawezi kumove on bila huyo mtu,mtu kuweka password ni dalili huyo mtu anacheat mie siamini kuna senstive information ambazo hata mkeo wa ndoa unaamini hatakiwi azione!,huu ni upuuzi mtupu...kwa kweli mie akiweka password nitampa ultimatum achague mie au simu?obviously simu= kimada!so uamuzi ni wake!

Je katika hili ni nani mwanzilishi kati ya wawili hawa.... Mwanaume au Mwanamke?
 
Jamani kuna umuhimu wowote simu za wapenzi wawili kuwana na password? let say mke na mme au mtu na mchumba wake wanaulazimu wa kuweka password?

Umuhimu si lazima labda kama una sababu zako!mimi binafsi nimeweka Password tena ktk SIM card yenyewe hadi hand set naweka sababu simu ni mali yangu na nina uhuru wa kuitumia nitakavyo,na pia mwenza wangu anayo ya kwake na wala sijishughulishi nayo labda nimuombe kwa kutaka kupiga kama yangu imeishiwa cdt case ambayo hutokea mara chache ktk miezi mingi.cha msingi ni kujiamini na kumuamini mwenza wako!unajua hata kama mwenza wako ana betray ujue ipo siku atarudi nyuma na kujirekebisha na upuuzi wake kama anafanya.Mahusiano mengi yamevunjika sababu wenza wengi huamishia tension zao katika simu za wenza wao jambo ambalo si zuri na huonyesha kutojiamini.
 
Mi nadhani password ni muhimu kutokana na mazingira. Mfano wewe una simu ya ofisi ambayo labda ina email za kiofisi nk,na unawekewa credit na ofisi. unarudi nyumbani mke/mpenzi anavamia mara kasoma email hii mara ile , mara anaulizia huyu nani, mara kampigia mjomba, mara sijui nini.

Sasa password ndio dawa yake.
 
Kuweka password simu ni walakini..kama unajiamini password ya nini?

mimi simu yangu ipo wazi bila PW..mpz akikuta nimeandikiwa kitu kibaya I am not responsible mana muda mwingine watu wanakosea kutuma message n.k..nawajibika na kile nitakachokuwa nimeandika na sifuti inbox wala sent items mpaka wiki iishe au hata mwezi...Na hii tunawasiliana mapema kabla ya tatizo likitokea.
 
Mimi na mume wangu tunashare PW mpaka za e mail nini simu. Hata kama haizuii mtu kucheat inatufanya tu feel good and confident with one another. Mimi hata nikute meseji kwenye e mail za hubby ya msichana kama si ya mapenzi na ninamjua wala sijali na wala siijibu. Kikubwa ni kuto misuse simu na e mail za wenza wetu.

Nina hakika wale ambao mmewekewa PW mnajisikia vibaya. Kwa hiyo enyi wanaume wenye kuweka mi PW hacheni huo mchezo mnanyima amani wenzenu.

Hata kama mnacheat si muwaambie hao wanawake kuwa mumeoa wasiwasumbue ovyo!

we inaonyesha mumeo umemuweka kiganjani.
 
Kuweka password simu ni walakini..kama unajiamini password ya nini?

mimi simu yangu ipo wazi bila PW..mpz akikuta nimeandikiwa kitu kibaya I am not responsible mana muda mwingine watu wanakosea kutuma message n.k..nawajibika na kile nitakachokuwa nimeandika na sifuti inbox wala sent items mpaka wiki iishe au hata mwezi...Na hii tunawasiliana mapema kabla ya tatizo likitokea.

hehehe Mimi nikiona imepita siku 2 hajaipekua nakuwa nampelekea jikoni.
 
hehehe Mimi nikiona imepita siku 2 hajaipekua nakuwa nampelekea jikoni.

Halafu ogopa watu wanaosemaga sishiki simu ya mamsapu/babsapu maana hao ndiyo vinara yani ukilala anaweza kwenda kuikeshea toilet akifanya ukaguzi wa hali ya juu ha ha...
Kloro bwana unampelekea mamsapu ukiwa umeshafuta sms au ukiwa umesha-log in?teh teh
 
Mimi rafiki yangu mume wake kaweka PW kwenye simu. Kila siku anaulizia jinsi gani ataweza ku hijack hiyo PW. Hamna asopenda kujua mwenza wake anafanya nini, na nani unless mapenzi hamna yamebaki mazoea.


Halafu ogopa watu wanaosemaga sishiki simu ya mamsapu/babsapu maana hao ndiyo vinara yani ukilala anaweza kwenda kuikeshea toilet akifanya ukaguzi wa hali ya juu ha ha...
Kloro bwana unampelekea mamsapu ukiwa umeshafuta sms au ukiwa umesha-log in?teh teh
 
This how married couples should live. Na nina imani nyumba yenu ina amani. Mtaishije nyumba moja full siri.
Kuweka password simu ni walakini..kama unajiamini password ya nini?

mimi simu yangu ipo wazi bila PW..mpz akikuta nimeandikiwa kitu kibaya I am not responsible mana muda mwingine watu wanakosea kutuma message n.k..nawajibika na kile nitakachokuwa nimeandika na sifuti inbox wala sent items mpaka wiki iishe au hata mwezi...Na hii tunawasiliana mapema kabla ya tatizo likitokea.
 
Umeona eeh. Watu wanawalea vibaya partners wao. Kama una nipenda lazima ni exercise power na wewe una haki ya kufanya the same. Huwezi weka PW kwenye simu unless na mimi niwe naifahamu hiyo PW. As long as am still married, I must I have certain control over my hubby.

nawaonea huruma wanawake na wanaume ambao wako kny situation kama hii ni obviously wanaamini hawawezi kumove on bila huyo mtu,mtu kuweka password ni dalili huyo mtu anacheat mie siamini kuna senstive information ambazo hata mkeo wa ndoa unaamini hatakiwi azione!,huu ni upuuzi mtupu...kwa kweli mie akiweka password nitampa ultimatum achague mie au simu?obviously simu= kimada!so uamuzi ni wake!
 
UNatumia kinywaji gani dear!

Kama mke wako huwezi kushare password yako ya ATM naye ujue hapo hamuishi kama mke na mme. Kama hamuwezi kushare simu zenu na content zake kuna tatizo.

Wapenzi wengi hasa wanapoanza mapenzi wakati wa uchumba, simu ni kitu cha kawaida na wanashare. Girlfriend wako au boyfriend wako akitaka kufanya kitu wakati mwingi hukupa simu umshikie. Sasa mkishaingia kwenye ndoa, miaka mitatu hadi mitano, simu inatiwa kufuli ya password.

Hapo hakuna maelezo mengine zaidi ya kuwa CHEATING is going on. Na ukishajua cheating is going on, asikudanganye mtu, kama huyo mke au mme unampenda, maisha hayataenda mpaka hiyo cheating isimame. Hakuna mbadala eti, sifatilii simu ya mke wangu/mme wangu wakati najua kabisa kuna tatizo! Matatizo yatajitokeza in another form, hakuna njia na tusidanganyane! Hakuna anayeweza kuishi na mke/mme kwa amani wakati anajua kuna cheating going on!
 
Ni sawa mtu kutoweka PW haina maana kuwa si cheater lakini kuna possibility kubwa kuwa si cheater. Ila kuweka PW ni sawa na kuingiza kimada kwenye chumba chako na wife. Maana ni kuwa unaonyesha wazi tena kwa jeuri kwamba nina cheat do whatever you can! Full dharau.

Hata bila password unaweza ukaibiwa tu!
 
Halafu ogopa watu wanaosemaga sishiki simu ya mamsapu/babsapu maana hao ndiyo vinara yani ukilala anaweza kwenda kuikeshea toilet akifanya ukaguzi wa hali ya juu ha ha...
Kloro bwana unampelekea mamsapu ukiwa umeshafuta sms au ukiwa umesha-log in?teh teh

heheh hapo red hapo nina kisa kiref sana cha kusimulia lakini nitasimulia sku nyengine. In short hapo red u r very right
 
hii mada ni motomoto sometimes natamani mobile phone zifutwe turudi mfumo wa zamani wa landline,hizi cmu ni mateso tupu presha presha
 
Gaga sikutegemea unaweza kuni-attack personally badala ya point niliyoielezea. Sishangai kutofautiana mawazo maana mm ni mwanaume na wewe ni mwanamke (I suppose), kuna mambo-hasa ya mahusiano tunaweza kutofautiana kwa kiasi kikubwa. Mi napinga suala la kufuatiliana ktk vitu kama simu, mail inbox, fcbk nk kwasababu mwisho wake sio ule wenggi tunaotarajia. Kuna askari wa NYPD-USA amejiua (check yahoo news) kisa ni messages za facebook alizoziona alipotembelea page ya mpenzi wake. Sam Wanjiru mwanariadha wa Kenya amekufa jana kwasababu ya mambo haya haya ya kufautiliana. Wengi tunapenda kufuatilia wenzi wetu bila kujua tukiupata ukweli tutafanya nini.

So narudia kama unataka kuachana na mpenzi wako, tafuta sababu kwenye simu na communication media nyingine utaipata. Kimsingi hakuna tija ktk kuchunguza simu ya mwenza wako, maana unaweza usione kitu kwenye simu ukadhani mambo ni shwari, kumbe mwenzio yupo na housegirl wako na hawahitaji mawasiliano ya simu maana wote wapo nyumba 1. Ukitaka kumjenga mwenzako, mwamini hata kama unaona kwa wakati huo haaminiki, hiyo itamjenga kuliko ya kugombana nae kila siku sababu ya msg-hii inajenga ufa kati yenu. Mwisho, nimewasikia wanawake wangi wakisema "kama anafanya mambo yake, afanye mbali nisijue", so mtu akiweka password, maana yake anajali hisia zako!

hapa sikubaliana na wewe na sitakaa nikubaliane na wewe Ngondya. Kwa kweli check and balance ni muhimu. nawahakikishia kwa asilimia 100% mtu anayeweka password kwa ajili ya kumzuia mume/mke/mpenzi asibrowse simu yake basi lazima kuna infidelity (from experience). anayetaka nimpe experience ani-PM kwa sababu sitaki eleza hapa kila kitu!. aidha kuna scenario mbili - either ujue mwenzio anapigiza nje utake action au aendelee kupigiza nje wewe usijue na matokeo yake uyaone baada ya miaka michache ijayo!! uamuzi ni wako!!.
 
Jamani kuna umuhimu wowote simu za wapenzi wawili kuwana na password? let say mke na mme au mtu na mchumba wake wanaulazimu wa kuweka password?

Kama simu yako ina sensitive information au salio kubwa, mimi naamini kuwa na PW ni vizuri...kama ilivyo kwenye vitu vingine ATM, Computer, etc. Kama unataka mwenza wako awe na access si unampa hiyo PW tu...hapo shida ipo wapi? Binafsi simu yangu ikikaa idle kwa dk 2 keypad inajilock na kufungua mpaka PW na hata kuiwasha pia ni lazima PW! Hata ikitokea ikapotea/ibiwa nakuwa sina wasiwasi.
 
hapa sikubaliana na wewe na sitakaa nikubaliane na wewe Ngondya. Kwa kweli check and balance ni muhimu. nawahakikishia kwa asilimia 100% mtu anayeweka password kwa ajili ya kumzuia mume/mke/mpenzi asibrowse simu yake basi lazima kuna infidelity (from experience). anayetaka nimpe experience ani-PM kwa sababu sitaki eleza hapa kila kitu!. aidha kuna scenario mbili - either ujue mwenzio anapigiza nje utake action au aendelee kupigiza nje wewe usijue na matokeo yake uyaone baada ya miaka michache ijayo!! uamuzi ni wako!!.

Labda kwa ushauri wa bure tu....ukiona mtu yuko so protective na simu yake kwa mwenza wake, basi most likely huyo ndio anajifunza kucheat! Cheaters 'wazuri' wanakupa 'full access' na unatoka kapa!
 
Back
Top Bottom