Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Kama huko kumewaboa kwanini msiungane na sisi huku CHADEMA? Hivi ukiugomea uongozi wa UVCCM taifa halafu na kuanzisha umoja wako utakuwa unaoperate wapi, na utakuwa unatekeleza sera za chama kipi? Hizo kero zenu na mipango yenu mtaiwasilisha kwa nani? Hivi chama cha kiasi kitakuwa na kauli kwa nani? Kama mnataka kuanzisha chama cha upinzani basi kiiteni kwa jina kabisa kwamba ni chama cha upinzani lakini siyo eti CCM iliyojitenga? Huo mimi naona ni upuuzi tu.