OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
wewe ulipokea ngapi mkuu??Kwa watu makini CCM bado nzuri sana kiitikadi kuliko chama chochote nchini, matatizo yake ya utekelezaji yanahitaji kupingwa na wale wanaoamini ubora wa CCM wakiwa ndani ya CCM na siyo nje ya CCM (CDM siyo mbadala wa CCM). ndiyo maana wana matumaini ya kukirudisha chama kwenye misingi yake halisia na kuchangia ujenzi wa demokrasia (ikiwemo kuvikuza vyama visivyoaminika sawa sawa kama CDM) na kujenga taifa lenye maendeleo, umoja na amani.
Mungu ibariki Tanganyika, mungu ibariki CCM imara.