Mwenyekiti wa NCCR James Mbatia amesema ameteuliwa kuwa mbunge na Rais kwa sababu chama chake hakiamini katika vurugu na kumwaga damu kama baadhi ya vyama vinavyofanya.
Mbatia amesema hiyo ndiyo sababu pekee iliyosababisha Rais kukipa heshima chama chake na wala sio kulipwa fadhila kama baadhi ya watu wanavyosema
Source: Mwananchi Jumamosi
Mbatia amesema hiyo ndiyo sababu pekee iliyosababisha Rais kukipa heshima chama chake na wala sio kulipwa fadhila kama baadhi ya watu wanavyosema
Source: Mwananchi Jumamosi