johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Awali mawakili 386 walijitokeza kumtetea mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe.
Leo mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh James Mbatia amesema kutokana na umujimu wa kesi hii kwa wapenda haki duniani chama chake kimejitolea kuongeza jopo la mawakili 4 kumsupport Wakili msomi Kibatala.
Source: ITV habari
Leo mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh James Mbatia amesema kutokana na umujimu wa kesi hii kwa wapenda haki duniani chama chake kimejitolea kuongeza jopo la mawakili 4 kumsupport Wakili msomi Kibatala.
Source: ITV habari