Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,980
- 22,173
Ndugu wana JF.
Za asubuhi, mchana, jioni?
Wapendwa katika Bwana nimeona nishiriki nanyi kwa ushuhuda wa mwenyezi mungu alionisaidia jana
Nilikuwa nikienda kumshusha mchumba wangu Kawe, nikapitia bara bara ya Mama Rwakatare kuitafuta barabara ya Kawe, nilipokata kulia nikaona gari moja corolla 100 ilikuwa inakuja kwa mwendo wa kawaida gafla ikaongeza speed na katika kukimbia ikatoka nje ya barabara kidogo kabla ya kurudi barabarani.
Nilipoona nikasimama kwa shock; ghafla jamaa aliponiona nimesimama akapunguza mwendo nakutamka "FUNGA VIOO KUNA MAJAMBAZI DARAJANI"
Nilichofanya si kurudi nyuma nikaamua kwenda kwa speed na kupita pale darajani.. nilipopita kidogo shemeji yenu; wifi yenu akaniambia wale paale wanakimbilia porini....nilimshukuru Mungu nilipoona keep-left ya Kawe
nikawaza mbali sana ....jamani hawa watu nahisi kama awashiriki wanajeshi basi wanajeshi lazima wanawasaidia kwenye huu uhalifu....
Ndugu zanguni mh MWAMUNYANGE KABLA ya kuwa mkuu wa majeshi...alipitiwa na wataalam wa hapo hapo darajani.. siku ya pili yake wanajeshi wakaanza kushinda usiku pale mpaaka asubuhi....walikaa pale kwa muda kidogo....sasa nimeshindwa kuelewa ni nguvu ya soda ama ;
Za asubuhi, mchana, jioni?
Wapendwa katika Bwana nimeona nishiriki nanyi kwa ushuhuda wa mwenyezi mungu alionisaidia jana
Nilikuwa nikienda kumshusha mchumba wangu Kawe, nikapitia bara bara ya Mama Rwakatare kuitafuta barabara ya Kawe, nilipokata kulia nikaona gari moja corolla 100 ilikuwa inakuja kwa mwendo wa kawaida gafla ikaongeza speed na katika kukimbia ikatoka nje ya barabara kidogo kabla ya kurudi barabarani.
Nilipoona nikasimama kwa shock; ghafla jamaa aliponiona nimesimama akapunguza mwendo nakutamka "FUNGA VIOO KUNA MAJAMBAZI DARAJANI"
Nilichofanya si kurudi nyuma nikaamua kwenda kwa speed na kupita pale darajani.. nilipopita kidogo shemeji yenu; wifi yenu akaniambia wale paale wanakimbilia porini....nilimshukuru Mungu nilipoona keep-left ya Kawe
nikawaza mbali sana ....jamani hawa watu nahisi kama awashiriki wanajeshi basi wanajeshi lazima wanawasaidia kwenye huu uhalifu....
Ndugu zanguni mh MWAMUNYANGE KABLA ya kuwa mkuu wa majeshi...alipitiwa na wataalam wa hapo hapo darajani.. siku ya pili yake wanajeshi wakaanza kushinda usiku pale mpaaka asubuhi....walikaa pale kwa muda kidogo....sasa nimeshindwa kuelewa ni nguvu ya soda ama ;