MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Sasa huyo fisi anafanyaje jamani? au anasemezana na viuongo vyako?
Kwanza mcheki fisi alivyo mbaya..kisha ndio utajua kama fisi akianza ibuka kwako analia...na unajua wazi unadaiwa....fisi amekaa kiajabu ajabu sana..sipendi hata muona machoni.