Usiombe udaiwe Naijeria

mzizimkavu bado naendelea kukusoma , sijajua kuwa wewe ni mtu wa aina gani bado ila post zako nazikubali ...pamoja mzeiya!!!!!!!!:smile-big:
mimi ni mtu wa aina ya mzizi mkavu hauchimbwi dawa kama jina langu lilivyo na mimi mwenyewe nipo hivyo hivyo MziziMkavu hauchimbwi dawa.
 
Hakyaanani hiyo ni bodaboda ya usiku mwaniwani!! kufumba na kufumbua uko rufiji muhoro!!:smile-big:
 
Hakyaanani hiyo ni bodaboda ya usiku mwaniwani!! kufumba na kufumbua uko rufiji muhoro!!:smile-big:

Fisi au Hyaena. Huyu anafahamika katika Kiingereza kama Spotted Hyaena; Family Hyaenidae; Species: Crocuta crocuta Fisi hawa ufugwa katika nchi nyingi za Kiafrika Hususan Nigeria. Kwa Tanzania inayumkinika kufugwa maeneo ya Kanda ya Ziwa
hasa Usukumani????????????????



nigerians2.jpg
 
Hyena...They use those animals to scare debtors into paying their debts...
I do not believe that they are tame...those handlers wamefunga irizi...look closely.
 
Poleni wanaJF wenzangu.
huyo ni fisi aliyetokana na baba fisi na mama fisi. hakuna uchakachuaji hapo.
Anaitwa injini ya scania kwenye corola.
 
Mkimtumia kama mlinzi nyumabani kwa nia nzuri tu...bila kuwaza ushirikia....Hata mbwa hawawezi tia miguu hapo kwa yeye mwenyewe anakula mbwa...achinilia mbali binadamu akikaa sawa nae anakuwa kitoweo...Juu ya uwoga wake...hata wezi kurubuni kwa ajiri ya nyama yenye sumu.
Wakifanikiwa akifa...soon utaona wanakijiji wanakuja kuchukua vipande vya mwili wake..hasa sehemu za siri,mkia na masikio...why sijui kwa nini!!
 
aah hawa kwetu tunakulaga ni mboga nzuri sana....nimepata hamu jamani...
 
Mkimtumia kama mlinzi nyumabani kwa nia nzuri tu...bila kuwaza ushirikia....Hata mbwa hawawezi tia miguu hapo kwa yeye mwenyewe anakula mbwa...achinilia mbali binadamu akikaa sawa nae anakuwa kitoweo...Juu ya uwoga wake...hata wezi kurubuni kwa ajiri ya nyama yenye sumu.
Wakifanikiwa akifa...soon utaona wanakijiji wanakuja kuchukua vipande vya mwili wake..hasa sehemu za siri,mkia na masikio...why sijui kwa nini!!

Mkuu buswelu umenifurahisha sana leo kwa kuangalia topic yako umeniacha mpaka mbavu zinaniuma kwa maneno yako ya busara asante sana mkuu buswelu. Ubarikiwe
 
Fisi au Hyaena. Huyu anafahamika katika Kiingereza kama Spotted Hyaena; Family Hyaenidae; Species: Crocuta crocuta Fisi hawa ufugwa katika nchi nyingi za Kiafrika Hususan Nigeria. Kwa Tanzania inayumkinika kufugwa maeneo ya Kanda ya Ziwa
hasa Usukumani????????????????


nigerians2.jpg



Hawa ni Fisi wa ki Nigeria hahahahahahahahah
 
Baba yake chotara wa fisi na chui mama yake chotara wa mbwa na mbuzi
 
Back
Top Bottom