BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
Si unapata utamu? Endelea kuinjoi
unafikiri basi ananifunga, hata hanifungwi na nakuwa sijafungwa popote. nakuwa free kabisa. miaMia tafuta utube au tv ya tbjoshua au mpigie simu nina namba yake ili ufunguliwe mia.
dia hata wewe??. kama ni utamu basi uchukuage wewe. miaSi unapata utamu? Endelea kuinjoi
asante sana ndugu yangu. hujambo lakini? miapole sana nenda ukafanyiwe maombi au ujiombee mwenyewe uvunje hizo ndoto chafu ...mia
Kama unapata raha si uendelee kuinjoi tu.......?!
Hivyo vyote nafanya but hamna kitu. konyagi yenyewe kila nikila mdudu nashushia lakini wapi. miaWeka mziki wakati wa kulala haswa reggae na pia puliza msokoto mmoja wa bangi au kunywa konyagi bapa kubwa tatizo kwishnneyyy
mademu wa singida nasikia hawajui kukataa. wanasema eti kumnyima mwanaume ulicho pewa na Mungu bure ni dhambi. mia
asante sana ndugu yangu. hujambo lakini? mia
weee weeee!!! hiyo ilikuwa zamani sa hiv wameenda shule, njoo mkute toto la kinyaturu english figure utapenda njoo mkute mnyiramba hawa aminia bantu figure iko huku ya ukwee hakuna mchina huku.come and see........yaaan kama malaika
Spiritual wife. Fanya maombi
vipi na wewe ni toto la kinyaturu? mia
nakushauri uoe af mida hiyo uwe unafanya hayo mambo 100
lili na dadake walinambia hahahah ungeseema niibuke mbona karibu tu siku ingine utoe taarifa
aka sio,ila huwa nawakubali
hahahaaa poa. naona humu jina jipya jf chitchat nikajua la mdogo wako. yeye naona mda wote yupo fb. vipi lili hajambo? mpe hi! sana. Mia
Pole sana ,,swali kabla ya.kulala omba dua