figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Yaani napewa majamboz hadi napiga makelele amabyo ni kero.
Hili swala sijajua ni kwanini. Kila ikifika usiku wa manane naota nafanya ngono tena ngono zembe bila condom.
nimejaribu kuwauliza marafiki zangu wananiambia eti ni jini mahaba. wengine eti nina mda mlefu sifanyi mapenzi so ntafute demu.
Naomba unisaidie nifanyeje kuondokana na hili tatizo?
wengine wanasema nitumie maji ya baraka wengine eti nile mdudu.
Naomba mnisaidie niondokane na hili swala.
asanteni sana.
Mia
Hili swala sijajua ni kwanini. Kila ikifika usiku wa manane naota nafanya ngono tena ngono zembe bila condom.
nimejaribu kuwauliza marafiki zangu wananiambia eti ni jini mahaba. wengine eti nina mda mlefu sifanyi mapenzi so ntafute demu.
Naomba unisaidie nifanyeje kuondokana na hili tatizo?
wengine wanasema nitumie maji ya baraka wengine eti nile mdudu.
Naomba mnisaidie niondokane na hili swala.
asanteni sana.
Mia