Usiku naota nikifanya mapenzi hadi napiga kelele kwa sauti kubwa

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Yaani napewa majamboz hadi napiga makelele amabyo ni kero.
Hili swala sijajua ni kwanini. Kila ikifika usiku wa manane naota nafanya ngono tena ngono zembe bila condom.
nimejaribu kuwauliza marafiki zangu wananiambia eti ni jini mahaba. wengine eti nina mda mlefu sifanyi mapenzi so ntafute demu.
Naomba unisaidie nifanyeje kuondokana na hili tatizo?
wengine wanasema nitumie maji ya baraka wengine eti nile mdudu.
Naomba mnisaidie niondokane na hili swala.
asanteni sana.
Mia
 
Lusekelo. . .Kakobe. . . Gwajima. .. . .Lwakatare. . .. . waone hawa bana! ( If u are serious and you have faith prayers will

relieve you)|
 
Swali langu dogo tu!

Kwanini usioe?


Yaani napewa majamboz hadi napiga makelele amabyo ni kero.
Hili swala sijajua ni kwanini. Kila ikifika usiku wa manane naota nafanya ngono tena ngono zembe bila condom.
nimejaribu kuwauliza marafiki zangu wananiambia eti ni jini mahaba. wengine eti nina mda mlefu sifanyi mapenzi so ntafute demu.
Naomba unisaidie nifanyeje kuondokana na hili tatizo?
wengine wanasema nitumie maji ya baraka wengine eti nile mdudu.
Naomba mnisaidie niondokane na hili swala.
asanteni sana.
Mia
 
Naona wengi hapa wanaandika kimatani lakini sincerely you have a serious problem my dear.Mara nyingi ukiota unafanya mapenzi na kufikia hali unayofikia wewe jua umeoa au kuolewa na jini mahaba haya mambo yanafundishwa sana kwenye mahubiri ya Kikristu.Aesee mapepo ya namna ii huwa yanamfunga mtu kuoa au kuolewa we unaweza ukafkiri ni kawaida tu hutaki msichana kumbe ufahamu au utashi wako wa kuamua umefungwa na huyo jini mpenzio.Wachungaji (AASILIA) wanajua sana hii kitu.To say few unachotakiwa ni we mwenyewe kwanza kujua namna ya kuomba hasa kabla ya kulala and mid night hours mengineyo ukitaka maombi ya kuomban.PM on condition that uwe Mkristu
 
Back
Top Bottom