jmos na j2 niliomba lakini jana nilisahau. kwani ni nini? au ni pepo mchafu shetani? mia
unajini mahaba mukubwa so tafuta ufumbuz fasta vinginevo itakuletea matatizo makubwa
Haaahahhahha,
My dia charminglady hii siginecha yake hua naitumia kumjibu post zake tu,mie yangu hiyo hapo chin,ila sio siri hua naipenda sana na kwa namna anavoimenteini lol!
Wasicha wa kuoa hawapatikani kabisa hapa dar. vipi arusha wapo? Mia
Yaani napewa majamboz hadi napiga makelele amabyo ni kero.
Hili swala sijajua ni kwanini. Kila ikifika usiku wa manane naota nafanya ngono tena ngono zembe bila condom.
nimejaribu kuwauliza marafiki zangu wananiambia eti ni jini mahaba. wengine eti nina mda mlefu sifanyi mapenzi so ntafute demu.
Naomba unisaidie nifanyeje kuondokana na hili tatizo?
wengine wanasema nitumie maji ya baraka wengine eti nile mdudu.
Naomba mnisaidie niondokane na hili swala.
asanteni sana.
Mia
mademu wa singida nasikia hawajui kukataa. wanasema eti kumnyima mwanaume ulicho pewa na Mungu bure ni dhambi. mianjoo singida wapo kibao babaake! af wazuri wao na tabia zao. njiti
hilo nanlo neno. nitalifanyia kazi.miaWahi kuwaona wataalamu! Uliza "sacatry unit" Huoni unaendelea kuharibu mimba nyingi ?
Yawezekana katika kila v5 uvitupavyo hewani v3 vinge'create zygote ?
ni pasua kichwa huyo. miawewe nawe!! Duh!
inaweza kusaidia au unatania?. kwa sababu hiyo kitu nlishawahi kufanya nikiwa form two. miatumia punyeto therapy...short an clear
asante mkuu. miaPana tatizo kubwa hapo kwa kuwa ingekuwa kimoja kwa wiki tungejua ni ndoto za mapenzi za kawaida kwa wanaume lakini inapokuwa daily dozi hapo kiongozi umeshaoa jini bila kujua! kaombewe au ulale na mfupa wa mdudu kitandani. pole sana.
hakuna shida, hutaletewa mtoto usiyemtarajia wala VVU.
Kamua baba acha woga.
kale kademu niliko kuwa nakafukuzia kameshaolewa. mbaya zaid i eti akampa rafikie kadi ya harusi. kapumbavu saana kale kabint aisee. so sasa hivi natangaza kuwa single so ambaye yupo interested kuwa nami anakaribishwa. napenda wa jf coz atanifanya mda wote niwe jf narusha pm tu. miaNi kwa sababu huingii sana jf siku hizi. Rudisha ile kasi ya kitambo uone!