Mkubwa Dawa
Member
- Nov 13, 2008
- 64
- 1
Naomba nichukue fursa hii kuomba msaada kufahamishwa kuhusu ushuru wa kutoa gari bandarini. Je kuna unafuu wowote wa kodi kwa mwanafunzi wa kitanzania aliyekuwa masomoni ng'ambo anapotaka kuingiza gari ya matumizi ya binafsi? Na kama ipo afueni ya kodi je ni asilimia ngapi inatakiwa kulipia ushuru? Vile vile nilikuwa naomba kama naweza kufahamishwa links za madalali wa magari japan.
Shukrani.
Shukrani.