hajanituma mtu kaka mimi ni mtanzania wakawaida tu na ninahaki ya kutoa maoni yangu.
Umetumwa tu wewe, tunajua JF imevamiwa na mamluki wa Lowassa. Nyie vibarua wa mafisadi hata mfanyaje kamwe hamuwezi kubadili mawazo na msimamo wa Watanzania zaidi ya milioni 40! Lowassa apelekwa mahakamani tu, hiyo ndio njia pekee ya kujisafisha