Ushauri kwa Membe, Jitenge na Wanafiki

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,566
41,085
Kuna kelele nyingi za wanafiki kwako Mh. Membe. Lililo jema ni kwamba unaufahamu sana unafiki wao.

Manabii wa kweli wa Mungu, tangu historia, na tangu kale, wanafahamika kwa kusimama na kuusemea ukweli. Hawakujali nini kitawapata kwa kuwa wakweli. Walismama imara hata dhidi ya wafalme wenye nguvu na wenye mamlaka ya kutisha.

Tuwaulize viongozi wetu wa dini, wakati watu wakishambuliwa kwa risasi, wakiuawa, wakitekwa, wakiporwa mali zao, wakibambikiziwa kesi na kutupwa magerezani kwa uonevu, wao waliokuwa wapi? Walisimama upande upi? Walinena nini juu ya uovu ule?

Mungu aendelee kusimama na viongozi wa dini waliokemea na wanaoendelea kukemea uovu, wanaoutumikia ukweli, kwa sababu Mungu wetu ni Mungu wa ukweli, ni Mungu wa haki.

Ushauri wangu kwako Membe, ili usiendelee kusumbuliwa na watu wanafiki wanaojifanya wana hekima leo, lakini walijifanya vipofu na mabubu wakati uovu unatendeka, toa tamko kuwa iwe ni ofisini kwako, nyumbani kwako au mahali pengine popote, hutaki kutembelewa na mtu yeyote mnafiki ambaye anakuja eti kumwombea msamaha Musiba.

Ikikupendeza ruhusu tu kujadiliana na watu wenye hekima, watu ambao maisha yao yamejawa na kusimama katika ukweli bila ya kujali watawala watanena nini.

Lakini ufahamu kuwa ule uchafuzi wa haiba za watu, uhamasishaji wa watu kuuawa na kufungwa ulikuwa ni mradi uliohusisha watu wengi, mbele wakiwa wamemsimamisha Musiba, wao wakiwa nyuma yake. Hao waliokuwa nyuma yake, wengi wao ndio watakuja sasa na kujifanya washauri wa kukutaka umsamehe Musiba. Na wengine kwa vile hawawezi kukyfikia, wanawatumia viongozi wa dini wanaoamini wanaweza kuwatumia.

Ukweli ni kwamba watu hawa hawaombi umsamehe Musiba kama mtu tu, bali umsamehe mwenzao ambaye walimweka mbele na wao wakiwa nyuma yake. Hawa wanataka kujitoa kwenye mazingira ya kulaumiwa na Musiba ambaye anawaona wamemsaliti kwa kutomsaidia nyakati hizi. Ukimwachia huyu mhalifu, hawa wahalifu wenzake watakwenda na kumwambia kuwa tumefanya kazi, tumekusaidia mpaka umekuwa huru sasa. Mbinu yao kubwa waliyoibuni kwa sasa ni kuwatumia viongozi wa dini ambao wwanawafahamu kuwa kwa namna fulani walikuwa nao katika katika hali ile ya kuulinda uovu.

Waliokuwa na Musiba, wamsaidie Musiba kulipia uovu wake, maana wao ni sehemu yake katika uovu wake. Na baadhi ya watu ambao sio waovu, na hawakuwahi kuwa waovu, wawe na hekima siyo kukubali maombi ya watu hovyo hovyo, hata wakaharibiwa heshima zao kutokana na kutumika na hao waovu wa kundi la Musiba.

Mpaka sasa si Musiba binafsi ndiye anayewaona viongozi wa dini kumwombea msamaha Musiba, bali ni watu wale wenzake na Musiba ndio wanaoenda kwa hao viongozi wa dini.

Mh. Membe, ujaliwe hekima katika hili.
 
Kuna kelele nyingi za wanafiki kwako Mh. Membe. Lililo jema ni kwamba unaufahamu sana unafiki wao.

Manabii wa kweli wa Mungu, tangu historia, na tangu kale, wanafahamika kwa kusimama na kuusemea ukweli. Hawakujali nini kitawapata kwa kuwa wakweli. Walismama imara hata dhidi ya wafalme wenye nguvu na wenye mamlaka ya kutisha.

Tuwaulize viongozi wetu wa dini, wakati watu wakishambuliwa kwa risasi, wakiuawa, wakitekwa, wakiporwa mali zao, wakibambikiziwa kesi na kutupwa magerezani kwa uonevu, wao waliokuwa wapi? Walisimama upande upi? Walinena nini juu ya uovu ule?

Mungu aendelee kusimama na viongozi wa dini waliokemea na wanaoendelea kukemea uovu, wanaoutumikia ukweli, kwa sababu Mungu wetu ni Mungu wa ukweli, ni Mungu wa haki.

Ushauri wangu kwako Membe, ili usiendelee kusumbuliwa na watu wanafiki wanaojifanya wana hekima leo, lakini walijifanya vipofu na mabubu wakati uovu unatendeka, toa tamko kuwa iwe ni ofisini kwako, nyumbani kwako au mahali pengine popote, hutaki kutembelewa na mtu yeyote mnafiki ambaye anakuja eti kumwombea msamaha Musiba.

Ikikupendeza ruhusu tu kujadiliana na watu wenye hekima, watu ambao maisha yao yamejawa na kusimama katika ukweli bila ya kujali watawala watanena nini.

Lakini ufahamu kuwa ule uchafuzi wa haiba za watu, uhamasishaji wa watu kuuawa na kufungwa ulikuwa ni mradi uliohusisha watu wengi, mbele wakiwa wamemsimamisha Musiba, wao wakiwa nyuma yake. Hao waliokuwa nyuma yake, wengi wao ndio watakuja sasa na kujifanya washauri wa kukutaka umsamehe Musiba. Na wengine kwa vile hawawezi kukyfikia, wanawatumia viongozi wa dini wanaoamini wanaweza kuwatumia.

Ukweli ni kwamba watu hawa hawaombi umsamehe Musiba kama mtu tu, bali umsamehe mwenzao ambaye walimweka mbele na wao wakiwa nyuma yake. Hawa wanataka kujitoa kwenye mazingira ya kulaumiwa na Musiba ambaye anawaona wamemsaliti kwa kutomsaidia nyakati hizi. Ukimwachia huyu mhalifu, hawa wahalifu wenzake watakwenda na kumwambia kuwa tumefanya kazi, tumekusaidia mpaka umekuwa huru sasa. Mbinu yao kubwa waliyoibuni kwa sasa ni kuwatumia viongozi wa dini ambao wwanawafahamu kuwa kwa namna fulani walikuwa nao katika katika hali ile ya kuulinda uovu.

Waliokuwa na Musiba, wamsaidie Musiba kulipia uovu wake, maana wao ni sehemu yake katika uovu wake. Na baadhi ya watu ambao sio waovu, na hawakuwahi kuwa waovu, wawe na hekima siyo kukubali maombi ya watu hovyo hovyo, hata wakaharibiwa heshima zao kutokana na kutumika na hao waovu wa kundi la Musiba.

Mpaka sasa si Musiba binafsi ndiye anayewaona viongozi wa dini kumwombea msamaha Musiba, bali ni watu wale wenzake na Musiba ndio wanaoenda kwa hao viongozi wa dini.

Mh. Membe, ujaliwe hekima katika hili.
Asulubiwe Musibaaaa,wote itikieni asulubiweeeeeeee !!!
 
Naona unauwekea msamaha mipaka mpaka kuanza kuwaita wale wanaotaka Musiba asamehewe ni wanafiki.

Msamaha ni msamaha tu, bila kujalisha unaombwa muda gani, na wakina nani, lakini sio kuwaita wale wanaokutaka usamehe wanafiki, kwangu huko ni kutafuta kisingizio tu cha kutosamehe.
 
Naona unauwekea msamaha mipaka mpaka kuanza kuwaita wale wanaotaka Musiba asamehewe ni wanafiki.

Msamaha ni msamaha tu, bila kujalisha unaombwa muda gani, na wakina nani, lakini sio kuwaita wale wanaokutaka usamehe wanafiki, kwangu huko ni kutafuta kisingizio tu cha kutosamehe.
Ule waraka uliokataliwa na Kardinali Pengo?
 
Kuna kelele nyingi za wanafiki kwako Mh. Membe. Lililo jema ni kwamba unaufahamu sana unafiki wao.

Manabii wa kweli wa Mungu, tangu historia, na tangu kale, wanafahamika kwa kusimama na kuusemea ukweli. Hawakujali nini kitawapata kwa kuwa wakweli. Walismama imara hata dhidi ya wafalme wenye nguvu na wenye mamlaka ya kutisha.

Tuwaulize viongozi wetu wa dini, wakati watu wakishambuliwa kwa risasi, wakiuawa, wakitekwa, wakiporwa mali zao, wakibambikiziwa kesi na kutupwa magerezani kwa uonevu, wao waliokuwa wapi? Walisimama upande upi? Walinena nini juu ya uovu ule?

Mungu aendelee kusimama na viongozi wa dini waliokemea na wanaoendelea kukemea uovu, wanaoutumikia ukweli, kwa sababu Mungu wetu ni Mungu wa ukweli, ni Mungu wa haki.

Ushauri wangu kwako Membe, ili usiendelee kusumbuliwa na watu wanafiki wanaojifanya wana hekima leo, lakini walijifanya vipofu na mabubu wakati uovu unatendeka, toa tamko kuwa iwe ni ofisini kwako, nyumbani kwako au mahali pengine popote, hutaki kutembelewa na mtu yeyote mnafiki ambaye anakuja eti kumwombea msamaha Musiba.

Ikikupendeza ruhusu tu kujadiliana na watu wenye hekima, watu ambao maisha yao yamejawa na kusimama katika ukweli bila ya kujali watawala watanena nini.

Lakini ufahamu kuwa ule uchafuzi wa haiba za watu, uhamasishaji wa watu kuuawa na kufungwa ulikuwa ni mradi uliohusisha watu wengi, mbele wakiwa wamemsimamisha Musiba, wao wakiwa nyuma yake. Hao waliokuwa nyuma yake, wengi wao ndio watakuja sasa na kujifanya washauri wa kukutaka umsamehe Musiba. Na wengine kwa vile hawawezi kukyfikia, wanawatumia viongozi wa dini wanaoamini wanaweza kuwatumia.

Ukweli ni kwamba watu hawa hawaombi umsamehe Musiba kama mtu tu, bali umsamehe mwenzao ambaye walimweka mbele na wao wakiwa nyuma yake. Hawa wanataka kujitoa kwenye mazingira ya kulaumiwa na Musiba ambaye anawaona wamemsaliti kwa kutomsaidia nyakati hizi. Ukimwachia huyu mhalifu, hawa wahalifu wenzake watakwenda na kumwambia kuwa tumefanya kazi, tumekusaidia mpaka umekuwa huru sasa. Mbinu yao kubwa waliyoibuni kwa sasa ni kuwatumia viongozi wa dini ambao wwanawafahamu kuwa kwa namna fulani walikuwa nao katika katika hali ile ya kuulinda uovu.

Waliokuwa na Musiba, wamsaidie Musiba kulipia uovu wake, maana wao ni sehemu yake katika uovu wake. Na baadhi ya watu ambao sio waovu, na hawakuwahi kuwa waovu, wawe na hekima siyo kukubali maombi ya watu hovyo hovyo, hata wakaharibiwa heshima zao kutokana na kutumika na hao waovu wa kundi la Musiba.

Mpaka sasa si Musiba binafsi ndiye anayewaona viongozi wa dini kumwombea msamaha Musiba, bali ni watu wale wenzake na Musiba ndio wanaoenda kwa hao viongozi wa dini.

Mh. Membe, ujaliwe hekima katika hili.
HONGERA SANA KWA KUANDIKA UKWELI HAO MAASKOFU MUSIBA NI MWENZAO WOTE WALIKUWA CHINI YA MWENDAZAKE
MEMBE USIKUBALI KUMSAMEHE MUSIBA MATESO NA YOTE ULIYOYAPITIA WAKATI WA UTAWALA WA MWENDAZAKE HAO MAASKOFU HAWAKUWAHI KUKUPA POLE BALI WALITAFURAHIA
 
Waliokuwa na Musiba, wamsaidie Musiba kulipia uovu wake, maana wao ni sehemu yake katika uovu wake. Na baadhi ya watu ambao sio waovu, na hawakuwahi kuwa waovu, wawe na hekima siyo kukubali maombi ya watu hovyo hovyo, hata wakaharibiwa heshima zao kutokana na kutumika na hao waovu wa kundi la Musiba.
Salute Mkuu, huu ndio ukweli mtupu!
Askofu Pengo alikuwa karubu sana na mwendazake, mbona hakukemea wakati musiba anatukana na kejeli kibao?
NI vuema Angekaa kimya!
 
Membe kama anataka fidia atalipwa full stop, alaf mambo mengine tusubir mda utupe majibu, wala haina haja ya kunyenyekea, dunia inazunguka hii, hamna haja ya kutishana Sana wakat wote tunakunya
Siyo kama anataka, bali mahakama ndivyo ilivyoamua.

Na kweli Dunia inazunguka ndiyo maana Musiba aliyeamini anaweza kumtendea ouvu mtu yeyote bila ya kuhojiwa na yeyote, sasa anatakiwa kutekeleza hukumu halali ya mahakama..
 
Kuna kelele nyingi za wanafiki kwako Mh. Membe. Lililo jema ni kwamba unaufahamu sana unafiki wao.

Manabii wa kweli wa Mungu, tangu historia, na tangu kale, wanafahamika kwa kusimama na kuusemea ukweli. Hawakujali nini kitawapata kwa kuwa wakweli. Walismama imara hata dhidi ya wafalme wenye nguvu na wenye mamlaka ya kutisha.

Tuwaulize viongozi wetu wa dini, wakati watu wakishambuliwa kwa risasi, wakiuawa, wakitekwa, wakiporwa mali zao, wakibambikiziwa kesi na kutupwa magerezani kwa uonevu, wao waliokuwa wapi? Walisimama upande upi? Walinena nini juu ya uovu ule?

Mungu aendelee kusimama na viongozi wa dini waliokemea na wanaoendelea kukemea uovu, wanaoutumikia ukweli, kwa sababu Mungu wetu ni Mungu wa ukweli, ni Mungu wa haki.

Ushauri wangu kwako Membe, ili usiendelee kusumbuliwa na watu wanafiki wanaojifanya wana hekima leo, lakini walijifanya vipofu na mabubu wakati uovu unatendeka, toa tamko kuwa iwe ni ofisini kwako, nyumbani kwako au mahali pengine popote, hutaki kutembelewa na mtu yeyote mnafiki ambaye anakuja eti kumwombea msamaha Musiba.

Ikikupendeza ruhusu tu kujadiliana na watu wenye hekima, watu ambao maisha yao yamejawa na kusimama katika ukweli bila ya kujali watawala watanena nini.

Lakini ufahamu kuwa ule uchafuzi wa haiba za watu, uhamasishaji wa watu kuuawa na kufungwa ulikuwa ni mradi uliohusisha watu wengi, mbele wakiwa wamemsimamisha Musiba, wao wakiwa nyuma yake. Hao waliokuwa nyuma yake, wengi wao ndio watakuja sasa na kujifanya washauri wa kukutaka umsamehe Musiba. Na wengine kwa vile hawawezi kukyfikia, wanawatumia viongozi wa dini wanaoamini wanaweza kuwatumia.

Ukweli ni kwamba watu hawa hawaombi umsamehe Musiba kama mtu tu, bali umsamehe mwenzao ambaye walimweka mbele na wao wakiwa nyuma yake. Hawa wanataka kujitoa kwenye mazingira ya kulaumiwa na Musiba ambaye anawaona wamemsaliti kwa kutomsaidia nyakati hizi. Ukimwachia huyu mhalifu, hawa wahalifu wenzake watakwenda na kumwambia kuwa tumefanya kazi, tumekusaidia mpaka umekuwa huru sasa. Mbinu yao kubwa waliyoibuni kwa sasa ni kuwatumia viongozi wa dini ambao wwanawafahamu kuwa kwa namna fulani walikuwa nao katika katika hali ile ya kuulinda uovu.

Waliokuwa na Musiba, wamsaidie Musiba kulipia uovu wake, maana wao ni sehemu yake katika uovu wake. Na baadhi ya watu ambao sio waovu, na hawakuwahi kuwa waovu, wawe na hekima siyo kukubali maombi ya watu hovyo hovyo, hata wakaharibiwa heshima zao kutokana na kutumika na hao waovu wa kundi la Musiba.

Mpaka sasa si Musiba binafsi ndiye anayewaona viongozi wa dini kumwombea msamaha Musiba, bali ni watu wale wenzake na Musiba ndio wanaoenda kwa hao viongozi wa dini.

Mh. Membe, ujaliwe hekima katika hili.
HADI ASEME NANI ALIMTUMA AANDIKE HII DOKUMENTI....
 

Attachments

  • Untitled.jpg
    Untitled.jpg
    16.4 KB · Views: 3
Naona unauwekea msamaha mipaka mpaka kuanza kuwaita wale wanaotaka Musiba asamehewe ni wanafiki.

Msamaha ni msamaha tu, bila kujalisha unaombwa muda gani, na wakina nani, lakini sio kuwaita wale wanaokutaka usamehe wanafiki, kwangu huko ni kutafuta kisingizio tu cha kutosamehe.
Mtu atafute kisingizio cha kutokusamehe kwani mtu huwa analazimishwa kusamehe?

Wanaosema leo kuwa Musiba asamehewe, hakika ni wanafiki:
Musiba alikuwa anatukana watu na kuhamasisha watu wauawe na wengine wavunjwe miguu. Hawa wanaosema Musiba asemehewe, wakati huo walifanya nini? Wemgine mpaka walikuwa wanashangilia, we gine walimsifu, na wengine walikaa kimya. Wote hao hawakuona uovu wowote uliokuwa ukifanywa na Musiba. Msamaha hutolewa kwamtu aliyekosa, sasa hawa ambao walikuwa wakimshangilia Musiba, ni lini yale waliyokuwa wakiyashangilia, wamegundua kuwa ulikuwa ni uovu? Kama walijua toka mwanzo ulikuwa ni uovu, waanze kwanza kuomba msamaha kwaajili yao kwa kuwa wanafiki, kabla hawajamwombea msamaha Musiba.

Katika watu wote waliomwombea msamaha Musiba, ni Askofu Mwamakula pekee ndiye alionekana kuweka bayana kuwa yale yaliyokiwa yakifanywa na Musiba ni miongoni mwa ubatili. Askofu huyu haukutumikia unafiki. Iwe mvua iwe jua; iwe mbele ya mtawala au mbali na mtawala, alisimama katika ukweli.

Shetani humpa mwovu mafanikio ya muda mfupi, hayawezi kuwa ya kudumu. Musiba atakuwa shuhuda mzuri katika hili
 
HONGERA SANA KWA KUANDIKA UKWELI HAO MAASKOFU MUSIBA NI MWENZAO WOTE WALIKUWA CHINI YA MWENDAZAKE
MEMBE USIKUBALI KUMSAMEHE MUSIBA MATESO NA YOTE ULIYOYAPITIA WAKATI WA UTAWALA WA MWENDAZAKE HAO MAASKOFU HAWAKUWAHI KUKUPA POLE BALI WALITAFURAHIA
Tena Membe ni mwakilishi tu wa wengi waliotendewa uovu na mtu huyu. Aliwafanya wanadamu wengi utuna uhai wao kutokuwa na thamani.
 
Mtu atafute kisingizio cha kutokusamehe kwani mtu huwa analazimishwa kusamehe?

Wanaosema leo kuwa Musiba asamehewe, hakika ni wanafiki:
Musiba alikuwa anatukana watu na kuhamasisha watu wauawe na wengine wavunjwe miguu. Hawa wanaosema Musiba asemehewe, wakati huo walifanya nini? Wemgine mpaka walikuwa wanashangilia, we gine walimsifu, na wengine walikaa kimya. Wote hao hawakuona uovu wowote uliokuwa ukifanywa na Musiba. Msamaha hutolewa kwamtu aliyekosa, sasa hawa ambao walikuwa wakimshangilia Musiba, ni lini yale waliyokuwa wakiyashangilia, wamegundua kuwa ulikuwa ni uovu? Kama walijua toka mwanzo ulikuwa ni uovu, waanze kwanza kuomba msamaha kwaajili yao kwa kuwa wanafiki, kabla hawajamwombea msamaha Musiba.

Katika watu wote waliomwombea msamaha Musiba, ni Askofu Mwamakula pekee ndiye alionekana kuweka bayana kuwa yale yaliyokiwa yakifanywa na Musiba ni miongoni mwa ubatili. Askofu huyu haukutumikia unafiki. Iwe mvua iwe jua; iwe mbele ya mtawala au mbali na mtawala, alisimama katika ukweli.

Shetani humpa mwovu mafanikio ya muda mfupi, hayawezi kuwa ya kudumu. Musiba atakuwa shuhuda mzuri katika hili
Wewe ulikuwa shuhuda wa mauaji?

Ulimboka, Kibamba, Mwakyembe, Mwandosya, Kubenea, Mwangosi waliumizwa na nani vile? Huyu mbwabwajaji wa Mtama si ndo alikuwa kachero mbobezi na waziri wa anga za juu mbona hukusema yote aliyoyatenda?

Tufe linazunguka sehemu yoyote na wakati wowote.
 
Tena Membe ni mwakilishi tu wa wengi waliotendewa uovu na mtu huyu. Aliwafanya wanadamu wengi utuna uhai wao kutokuwa na thamani.
Wewe ni mwakilishi wa waovu wote wenye visasi kwa kushughulikiwa maouvu yenu dhiddi ya maslahi ya umma
 
Tena Membe ni mwakilishi tu wa wengi waliotendewa uovu na mtu huyu. Aliwafanya wanadamu wengi utuna uhai wao kutokuwa na thamani.
Wana JF hapa bongo ivi huyu baba alisharudi kweli?
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    14.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom