mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
Habari ndugu zangu wana JF. Kwa mara ya kwanza najitokeza kwenye jukwaa hili, kwa muda mrefu nimekua nikisikia tuhuma nyingi zikielekezwa kwa aliyekua waziri mkuu wa jamhuri ya Tanzania Mheshimiwa Lowasa, yeye binafsi anapinga tuhuma hizi na kusema kua sio za kweli.
Ushauri wangu kweke ni kwamba naomba aitishe mdahalo wa wazi utakaompa nafasi ya kujibu maswali mbalimbali yatakayoulizwa kwake ili watu tujue ukweli ulipo.
Binafsi namkubali sana ila nakua namashaka sana na hizi tuhuma zinazoelekezwa kwake kwa hiyo naomba aje ajieleze mbele wa wananchi tujue ukweli uko wapi. Naomba kuwasilisha.
Ushauri wangu kweke ni kwamba naomba aitishe mdahalo wa wazi utakaompa nafasi ya kujibu maswali mbalimbali yatakayoulizwa kwake ili watu tujue ukweli ulipo.
Binafsi namkubali sana ila nakua namashaka sana na hizi tuhuma zinazoelekezwa kwake kwa hiyo naomba aje ajieleze mbele wa wananchi tujue ukweli uko wapi. Naomba kuwasilisha.