Adriano Pamain
Member
- Jan 8, 2013
- 19
- 8
Watu wengine bana
Nakuona kamanda wangu wa classme nkajua una point za maana kumbe umekuja kuharisha hapa
maji ni yakutosha wadogo zangu tena natural ndo kwenyew maana mablock mnayokaa yana maji mwaka mzima
karibun udom, karibun natural
Mkuu nakuona na ww upo humu isee...cr hapa bsc chem 2nd yrWatu wengine bana
Inamaana one ya tisa ni ufaulu mdogo? ???UDOM kama hauna division one kozi za afya, engineering na education kwa upande wa arts hukanyagi utapasikia tu kwenye Radio.
UDOM YA SASA SI ILE YA ZAMANI.
Sikuhz UDSM NDO INACHUKUA WATU WENYE UFAULU MDOGO.
MFANO*kuna ndugu yangu alijaza education tupu alianza Udom chapili udsm ila kachaguliwa udsm education udom kakosa alipata one ya 9 HGL.
Itakuchukua kama miezi isiyopungua mitatu ukiwa mfuatiliaji. Ila baada ya hapo ni mtiririko tu tena pesa yajo yote utapata. Ila inabidi uwe na akili ya kuwafuatilia hao loan board. ukizembea tu ishakula kwako.Hebu nipe kidogo changamoto za Transfer hasa Changamoto atazopata mtu mnufaika wa Mkopo baada ya kuhamia institution nyingine
Nimekupata hapo..ila hiyo kusema kuwa harufu ya vyoo inafika mpaka madarasani kwa uliyesikia akisema basi ujue huyo anachuki binafsi na UDOM maana hakuna hicho kitu...Vyuo vingi Tanzania matatizo yapo naskia chuo kimoja sometimes mpaka maji taka yanatiririka majiani ni uchafu wa kiwango.
UDOM kule uhaba wa maji vyooni ni uchafu sana kichefuchefu naskia harufu ya vyoo inafika mpaka madarasani huko.
Elimu bora ni janga la kitaifa mfumo mbovu kuanzia mitaala na mbinu za ufundishaji hii kote uendako Tanzania huezi pata elimu bora sababu mfumo ni mmoja unaotumika kwa nchi nzima.
Education mkuukozi gani
Pande za Ng`ox hizo mkuuEducation mkuu
Hapo umeongea bonge la vocabularyPande za Ng`ox hizo mkuu
kama ww ni mdau wa udom utapajua tu