KERO Tatizo la maji UDOM

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari,

Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha dodoma (UDOM) ndaki ya kompyuta na elimu angavu (CIVE).

Hapa ndaki kwetu (College) kuna tatizo la maji sasa kufikia wiki ya pili maji hayajatoka tatizo wakaja kusema kuwa pump imeharibika lakini ukiangalia mda ambao maji hayajatoka kama ni matengenezo yangekuwa yamekamilika tukisema tatizo ni hela sio kweli kwani chuo kina mapato makubwa lakini hili swala inaonekana wanalipuuza.

Wanachokifanya sasa hivi ni kuleta maji katika magari ambayo yatatatua tatizo kwa siku moja au mbili alafu tunarudi tena kule kule.

Naomba taarifa ziwafikie wahusika kwani hapa palipofikia hii hali inaonyesha kuwa kuna uzembe na kutojali afya za wanafunzi.

ASANTE.
 
Habari,

Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha dodoma (UDOM) ndaki ya kompyuta na elimu angavu (CIVE).

Hapa ndaki kwetu (College) kuna tatizo la maji sasa kufikia wiki ya pili maji hayajatoka tatizo wakaja kusema kuwa pump imeharibika lakini ukiangalia mda ambao maji hayajatoka kama ni matengenezo yangekuwa yamekamilika tukisema tatizo ni hela sio kweli kwani chuo kina mapato makubwa lakini hili swala inaonekana wanalipuuza.

Wanachokifanya sasa hivi ni kuleta maji katika magari ambayo yatatatua tatizo kwa siku moja au mbili alafu tunarudi tena kule kule.

Naomba taarifa ziwafikie wahusika kwani hapa palipofikia hii hali inaonyesha kuwa kuna uzembe na kutojali afya za wanafunzi.

ASANTE.
Ni kweli kabisa kuwa kuna tatizo la maji katika chuo cha UDOM, na nakubaliana nawe kwamba hali hiyo ni ya kusikitisha sana. Inaonekana kama uongozi wa chuo umekuwa ukishughulikia suala hilo kwa njia ambayo haijatosheleza mahitaji ya wanafunzi. Ni jambo la kusikitisha kuona kuwa uzembe huo unawaathiri wanafunzi na afya zao. Ninaunga mkono hatua zako za kuibua suala hili na kutoa taarifa kwa wahusika ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa. Ni muhimu sana kwa uongozi wa chuo kuhakikisha kuwa huduma za msingi kama maji zinapatikana kwa urahisi na kwa ukamilifu. Hongera kwa kuonyesha ujasiri na kutoa sauti yako kwa niaba ya wanafunzi wenzako.



 
Madenti bwana..humu Tuna mambo mengi ebu peleka kwenye uongozi wenu huko
 
Back
Top Bottom