Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 574
PT ndo nini
Nilimwambia mdogo wangu ajifelishe ili tumpeleke chuo kingine, aliandika madudu sana lakini cha ajabu matokeo yanatoka ana GPA ya 4.2,, Acha uongo mkuu hapo UDOM hata ukiamua kufeli hauwezi.Huyu mtoa mada inaonekana ala disco isee...
Acha uongo wewe. Humu sio wodi ya vichaa.... umepotea. Humu tunajielewa.Nilimwambia mdogo wangu ajifelishe ili tumpeleke chuo kingine, aliandika madudu sana lakini cha ajabu matokeo yanatoka ana GPA ya 4.2,, Acha uongo mkuu hapo UDOM hata ukiamua kufeli hauwezi.
NakaziaMtoa post ana chuki na Udom tu. Atutajie basi chuo kipi hakina changamoto kabisa hapa nchini. Asigeuze matatizo yake au ya ndugu yake yawe ya chuo. Very weak analysis. Shame on him.
ni deni na nitalipa no way out....maana Bodi walijifanya hawajui kama wanafunzi huwa wanasaini kwanza frdha ndiyo wanawekewa kwenye akaunti zao, walisema tu ikiwa zimesainiwa basi ulilipwa...!!!!!!!!!!!Pole sana ndugu yangu, Inaonyesha kuna pesa hukuzipata na bado utazilipa tu bodi.. Hayo matatizo kwa UDOM ni kawaida sana na hakuna anayejali, sio Uongozi, walimu wala serikali ya wanafunzi.
hauamini...au unataka kukitetea chuo ambacho chenyewe ni aibu hata kujitetea kwa hili??? mie nilikuwa college ya Social Science, Mkurugenzi wa idara ya wanafunzi niliyokuwepo alikuwa anafahamu suala langu hadi mwisho waliponiingiza mjini na loan officer wake miaka ile....na nafahamu waliopatwa na haya wanaweza wakawa wengi zaidi. labda kama kondoo mwenye madoamadoa pale UDOM alishagastaafu ila kama bado yupo................Haya kama ni kweli ni uzembe na kutowajibika kwa wahusika na serikali inatakiwa kuangalia haya uongozi wa chuo na hata huko bodi.
its long time now brother, and so far ni kama kuna mambo mengine huwa ni ya kupotezeana muda sana na nilighairi kwa sababu hata Bodi makao makuu alikuwepo yule jamaa kama mmasai aliyetumbuliwa alikuwa anaboa sana mbaya zaidi ni kama kulikuwa na networking...ukienda kwa jamaa aliyekuwa anashughulika na UDOM anajifanya ana majibu hata kabla hujamaliza kueleza shida yako na unapigwa kalenda!!! au unaambiwa andika barua tutakujibu kwa e-mail n.kKachukue statement benki kwa muda huo. Uonyeshe. Tulifanya hivyo tukafanikiwa
kwa first year group la whatsupp udom mtafute 0657604167 kwa information nying za chuo unapataPoleni sana wadogo zangu na kipindi hiki kigumu kwenu katika kufuatilia mustakabali wa elimu yenu ya chuo kikuu.
Ushauri wangu kwenu ni kwamba jitahidini kadri ya uwezo wenu kutafuta elimu bora na sio bora elimu kwani itakua ni msaada mkubwa baada ya wewe kumaliza chuo huku mtaani hata kama utakosa ajira.
Elimu bora hupatikani Katika mazingira mazuri ikiwemo uongozi na walimu lakini haya mawili hayapo Udom licha ya majengo mazuri yenye uhaba wa maji.
Uongozi ni tatizo pale Udom hasa katika college ya COES na NATURAL SCIENCE , mfano kupata hela ya mkopo kutoka bodi kama bum na pesa ya PT ni kama kubahatisha kwa mwanafunzi wa pale. Hadi kufikia sasa kuna kundi kubwa la wanafunzi wa COES na NATURAL SCIENCE ambao hawajapata pesa ya Field na Special faculty na hakuna sababu yoyote ya msingi inayotolewa zaidi ya ukiuliza utatishiwa kufukuzwa chuo tu.
Kifupi Kuna ombwe kubwa sana la uongozi chuoni pale hasa college ya COES na NATURAL SCIENCE kwani wakuu wake wamekua waoga sana na kukosa maamuzi.
Yangu ni hayo tu, usiponielewa hapa nenda mwenyewe ukajionee miaka mitatu au minne utakavyoiona kama muongo mmoja hapo Dodoma.
Tar 29 mwez oct 2016, karibu udom wanaoongea sana kwanza hata hawajawahi kuwa wanafunzi wa udomAhsante! Me nisaidie tu siku ya ku report kama unaijua nna mzuka nako kinyama yani
Shukrani mkuu.Tar 29 mwez oct 2016, karibu udom wanaoongea sana kwanza hata hawajawahi kuwa wanafunzi wa udom
Yah, ndi gwa kukaja mkuu niko hapo udom pia
Aaah....gud gud tunakuja uko.Yah, ndi gwa kukaja mkuu niko hapo udom pia
Chuo gani kinachotilia mkazo swala la mikopo ya wanafunzi wao?!Sasa unabisha nini na unakubali nini?? Mara nyingi uongozi wa Udom hawajali kabisa swala la pesa za wanafunzi, huwezi mpa mwanafunzi kilicho bora wakati ana njaa ndio sababu vyuo vingine hutilia mkazo sana swala la mikopo ya wanafunzi wao.
Kaka angu sijui ni dada, katika maisha hakuna formula Rafik angu, unachokishindwa wewe siyo wote watakishindwa. Kila mtu Ana bahati yake, unavyoidhalau udom Leo, kuna mwingine anaisifu kwamba imemfanya ale matunda mema. Na pia njia uliyoitumia si sahihi kabisa hata kidogo, usilifanye tatizo liliokusumbua wewe kuligeneralise kuwa ni LA wote. Japo sijui nini adhima ya kuandika haya, sijui ni hasira, kutokuelewa au basi tu makusudi,lakini nafikiri kama msomi as you have said, hukupaswa kuliadress hili kwa jinsi hii. You would at least just adress it as one of the challenge so people have to see how to handle while they're in the process, lakini siyo kuwaambia wasiende. Wewe siyo Mungu wa kuwapangia watu maisha yao, mafanikio ya mtu anayeyajua ni Mungu tu. Wewe unaweza kufeli udom Lakin mwingine akatoka vizur Sana na akapata kazi nzur ya maana Sana na hata kuwa raisi wa baadaye. Yote huja kwa mipango ya mwenyezi Mungu na si mwanadam.Poleni sana wadogo zangu na kipindi hiki kigumu kwenu katika kufuatilia mustakabali wa elimu yenu ya chuo kikuu.
Ushauri wangu kwenu ni kwamba jitahidini kadri ya uwezo wenu kutafuta elimu bora na sio bora elimu kwani itakua ni msaada mkubwa baada ya wewe kumaliza chuo huku mtaani hata kama utakosa ajira.
Elimu bora hupatikani Katika mazingira mazuri ikiwemo uongozi na walimu lakini haya mawili hayapo Udom licha ya majengo mazuri yenye uhaba wa maji.
Uongozi ni tatizo pale Udom hasa katika college ya COES na NATURAL SCIENCE , mfano kupata hela ya mkopo kutoka bodi kama bum na pesa ya PT ni kama kubahatisha kwa mwanafunzi wa pale. Hadi kufikia sasa kuna kundi kubwa la wanafunzi wa COES na NATURAL SCIENCE ambao hawajapata pesa ya Field na Special faculty na hakuna sababu yoyote ya msingi inayotolewa zaidi ya ukiuliza utatishiwa kufukuzwa chuo tu.
Kifupi Kuna ombwe kubwa sana la uongozi chuoni pale hasa college ya COES na NATURAL SCIENCE kwani wakuu wake wamekua waoga sana na kukosa maamuzi.
Yangu ni hayo tu, usiponielewa hapa nenda mwenyewe ukajionee miaka mitatu au minne utakavyoiona kama muongo mmoja hapo Dodoma.