Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
Hivi kama yote uliyo yaandika ni kweli kwa nini hukuwaonya wakati wanachagua umesubiri hadi selection zinatoka? Nendeni UDOM mkapige mzigo and make it a better varsity kupitia student organisation yenu. TCU hawawezi ku-entertain uhamaji usio kuwa na sababu za msingi.