nobody knows but me
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 525
- 362
Bora kukosa baraka za mzazi mmoja (asiyekua na busara) na ukapata baraka za Mwenyezi Mungu.bora mtoto wa watu angekua na kasoro za kitabia...hapo kweli, ila sababu za kimaumbile Mungu ndo anahusikaIla hawatapata baraka za wazazi