Habari zenu wakuu,
Nimekuwa kwenye mahusiano na msichana mmoja kwa muda mrefu sana, sijawahi kufikiria kumuoa kutokana na tabia yake ya kunipiga vizinga.
Juzi wakati nipo mahali nilikutana na Mpangaji anaeishi kwenye nyumba ya Mama mkwe, yule Dada akawa akaniambia kuwa Mpenzi wangu amekuwa akinipa sifa kedekede kwa Mama yake (Mama Mkwe).
Kiukweli nilishangaa kusikia maneno hayo, maana mimi najua fika kuwa yule Demu yupo namimi kimaslahi zaidi na sio vyenginevyo.
Moja ya alichokiongea ni kuwa mimi Mjanja m1 ndio ananipenda na anataka nimuoe.
Naomba ushauri.
NITOKE NDUKI, AU NIENDELEE KUWA NAE HUYU MREMBO?
Nimekuwa kwenye mahusiano na msichana mmoja kwa muda mrefu sana, sijawahi kufikiria kumuoa kutokana na tabia yake ya kunipiga vizinga.
Juzi wakati nipo mahali nilikutana na Mpangaji anaeishi kwenye nyumba ya Mama mkwe, yule Dada akawa akaniambia kuwa Mpenzi wangu amekuwa akinipa sifa kedekede kwa Mama yake (Mama Mkwe).
Kiukweli nilishangaa kusikia maneno hayo, maana mimi najua fika kuwa yule Demu yupo namimi kimaslahi zaidi na sio vyenginevyo.
Moja ya alichokiongea ni kuwa mimi Mjanja m1 ndio ananipenda na anataka nimuoe.
Naomba ushauri.
NITOKE NDUKI, AU NIENDELEE KUWA NAE HUYU MREMBO?