Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Mwaka 2009 niliwahi kukataliwa na mama mkwe, probably kwa kuwa kipindi kile sikuwa vizuri sana kiafya na kimuonekano nilikuwa nimekondeana... Since then binti yake hajawahi kuolewa mpaka leo hii yupo ana randa randa na anakaribia miaka 30!Habari wana JF,
Rafiki yangu amekataliwa kwa mama mkwe alivyopelekwa kutambulishwa eti kisa ana kithembe, mbaya zaidi ni kwamba huyo mwanaume alikuwa nae katika mahusiano kwa miaka minne sasa
Kwakweli anahitaji ushauri na maombi yenu, maana hayuko sawa kabisa.
Ushauri wenu ni kitu cha muhimu kwa sasa.