Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Habari wana JF,
Rafiki yangu amekataliwa kwa mama mkwe alivyopelekwa kutambulishwa eti kisa ana kithembe, mbaya zaidi ni kwamba huyo mwanaume alikuwa nae katika mahusiano kwa miaka minne sasa
Kwakweli anahitaji ushauri na maombi yenu, maana hayuko sawa kabisa.
Ushauri wenu ni kitu cha muhimu kwa sasa.
Rafiki yangu amekataliwa kwa mama mkwe alivyopelekwa kutambulishwa eti kisa ana kithembe, mbaya zaidi ni kwamba huyo mwanaume alikuwa nae katika mahusiano kwa miaka minne sasa
Kwakweli anahitaji ushauri na maombi yenu, maana hayuko sawa kabisa.
Ushauri wenu ni kitu cha muhimu kwa sasa.