High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,089
Kama umeajiliwa
Fanya hiki soma Master then PhD
Kama hujaajiliwa soma diploma ya umeme then fungua kampuni ya umeme changamoto lazima uwe na connection ya kupata tenda uzuri ww ndio utakuwa mhasibu sababu unajua
Usikatishwe tamaa na watu walioshindwa ukweli utabaki elimu ni muhimu zaidi
Fanya hiki soma Master then PhD
Kama hujaajiliwa soma diploma ya umeme then fungua kampuni ya umeme changamoto lazima uwe na connection ya kupata tenda uzuri ww ndio utakuwa mhasibu sababu unajua
Usikatishwe tamaa na watu walioshindwa ukweli utabaki elimu ni muhimu zaidi