chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 984
- 1,991
- Thread starter
- #21
Doh@konda msafi nipo Durban Dr Langalibalele Dube Street nipe namba ya shemejii yangu khumbu nimjulie hali mkuuu
Doh@konda msafi nipo Durban Dr Langalibalele Dube Street nipe namba ya shemejii yangu khumbu nimjulie hali mkuuu
Kasome diploma ya engineeringMods naomba msihamishe huu uzi kwenye hili jukwaa naona ndo nitapata msaada kirahisi. Ndugu Wana jf nilikuwa naomba ushauri Mimi nimesomea shahada ya uhasibu na fedha ila nawaza kusomea Mambo mengine maana nna interest na Mambo ya uhandisi, nawaza nianze diploma ya engineering then degree hasa ujenzi au umeme ila akili nyingine inanambia nitawaste time Bora nikomae na hii fani niliyonayo ikibidi niongeze masters then phd. Ushauri wenu ndugu zangu
Pumbavu hujui nafanya nini nafikiri kila mtu lofa kama wewe.Ulienda halmashauri kufanya kazi nao ukajua hawana kazi au ulienda kuhudumiwa? Acha stori za vijiweni.
Sawa mkuuKasome diploma ya engineering
HahahPumbavu hujui nafanya nini nafikiri kila mtu lofa kama wewe.
Aache kupoteza muda wake bureKama degree moja umeipata umeshindwa pata pesa hiyo master na PhD au CPA zitakupa nini, anza komaa na utafutaji pesa kwa hiyo hiyo degree cause at the end tunaona hata Wana siasa wanapiga deal za pesa nyingi wanainvest, katika miradi ambayo inaitaji akili ya kawaida tu Sasa kwanini huo mda wa kurudi shule usiutumie katika kujitafuta katika kuwekeza ili upate unachotaka
Ni mawazo tu sikukatazi usisome
Lengo la kutaka kusoma hizo fani ni lipi hasa,just for fun?.Mods naomba msihamishe huu uzi kwenye hili jukwaa naona ndo nitapata msaada kirahisi. Ndugu Wana jf nilikuwa naomba ushauri Mimi nimesomea shahada ya uhasibu na fedha ila nawaza kusomea Mambo mengine maana nna interest na Mambo ya uhandisi, nawaza nianze diploma ya engineering then degree hasa ujenzi au umeme ila akili nyingine inanambia nitawaste time Bora nikomae na hii fani niliyonayo ikibidi niongeze masters then phd. Ushauri wenu ndugu zangu
Shukrani mkuuKama degree moja umeipata umeshindwa pata pesa hiyo master na PhD au CPA zitakupa nini, anza komaa na utafutaji pesa kwa hiyo hiyo degree cause at the end tunaona hata Wana siasa wanapiga deal za pesa nyingi wanainvest, katika miradi ambayo inaitaji akili ya kawaida tu Sasa kwanini huo mda wa kurudi shule usiutumie katika kujitafuta katika kuwekeza ili upate unachotaka
Ni mawazo tu sikukatazi usisome
Hapana mkuu Ni katika kutafuta jinsi ya kupata ajiraLengo la kutaka kusoma hizo fani ni lipi hasa,just for fun?.
Sawa mkuuAache kupoteza muda wake bure
Maisha sio kusoma tu ndugu. Siku hizi tunakufa tukiwa wadogo.Mods naomba msihamishe huu uzi kwenye hili jukwaa naona ndo nitapata msaada kirahisi. Ndugu Wana jf nilikuwa naomba ushauri Mimi nimesomea shahada ya uhasibu na fedha ila nawaza kusomea Mambo mengine maana nna interest na Mambo ya uhandisi, nawaza nianze diploma ya engineering then degree hasa ujenzi au umeme ila akili nyingine inanambia nitawaste time Bora nikomae na hii fani niliyonayo ikibidi niongeze masters then phd. Ushauri wenu ndugu zangu
Yeah kwa sababu tunaona hata katika hizi tasisi wale wanaopiga pesa ndefu at the end wanawaza wazitunze wapi tunaona wanahangaika na ufugaji, na kilimo, biashara nk, Sasa hapo ndio unawaza kama una degree moja elimu ambayo imekupa uelewa wa kutosha katika maisha kwanini hizo milion za ada usianze nazo katika jmabo furani maana at the end tunaitaji uhuru wa kiuchumi tu na ndio maana tunaona wasomi wetu wanavyodharirisha usomi wao kisa njaa kina bashiru, kina paramagamba nkAache kupoteza muda wake bure
UtapoteaSawa mkuu
Sasa matusi ya nini?Pumbavu hujui nafanya nini nafikiri kila mtu lofa kama wewe.
Panda gari za kwenda Inanda, shuka Newtown B, ulizia kwa akina Khumbu.@konda msafi nipo Durban Dr Langalibalele Dube Street nipe namba ya shemejii yangu khumbu nimjulie hali mkuuu
SawaYeah kwa sababu tunaona hata katika hizi tasisi wale wanaopiga pesa ndefu at the end wanawaza wazitunze wapi tunaona wanahangaika na ufugaji, na kilimo, biashara nk, Sasa hapo ndio unawaza kama una degree moja elimu ambayo imekupa uelewa wa kutosha katika maisha kwanini hizo milion za ada usianze nazo katika jmabo furani maana at the end tunaitaji uhuru wa kiuchumi tu na ndio maana tunaona wasomi wetu wanavyodharirisha usomi wao kisa njaa kina bashiru, kina paramagamba nk