ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,054
Wadau kuna ndugu yetu mmoja anapitia wakati mgumu sana mimi Jana kanipigia nimeongea nae nimeshindwa kwakweli kumpa ushauri hali iko hivi ana msiba wa mdogo wake anayemfuata uku akapata tena msiba wa mkwewe baba wa mkewe.
Kwa bahati mbaya maziko ni siku moja maeneo tofauti baba mkwe anaenda kuzikwa malinyi na mdogo wake anazikwa mtwara.sasa ndugu wapo wanamsikilizia waone ataenda kumzika mkwewe amuache mdogo wake au atamzika mdogo wake amuache mkewe akamzike baba yake peke yake?
Aiseee jamaa anaipita wakati mgumu sana.
Kwa bahati mbaya maziko ni siku moja maeneo tofauti baba mkwe anaenda kuzikwa malinyi na mdogo wake anazikwa mtwara.sasa ndugu wapo wanamsikilizia waone ataenda kumzika mkwewe amuache mdogo wake au atamzika mdogo wake amuache mkewe akamzike baba yake peke yake?
Aiseee jamaa anaipita wakati mgumu sana.