pendoharri
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 508
- 306
Jiue tuu
Achonge jeneza lake na atoe pesa ya wachimba kaburi na usafiri. Asisahau mchele wa hiyo siku, nyama na mazagazaga mengine bila kusahau vinywaji.muache ajiue bhana, alitoka mavumbini akirudi mavumbini sio mbaya.
hapo chacha, tutakulaje mwambieeeeAchonge jeneza lake na atoe pesa ya wachimba kaburi na usafiri. Asisahau mchele wa hiyo siku, nyama na mazagazaga mengine bila kusahau vinywaji.
bosi shemeji kakuchanganya sana! kisu umegeuza
ANAOMBA USHAURI:
Amenambia nisipomjengea nyumba nimsahau kabisaa namie moyo ndo umempenda sana dada huyu hadi nawaza kujiua kabisaa nifanyeje wadau namie ndo nimepanga kujiua kwa ajili yake