jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Wana JF magezeti ya leo asubuhi kupitia Clouds FM yameripoti Mbunge wa Ubungo apondwa mayai viza kisa hajawaletea maendeleo.Wabunge wanapswa kutekeleza ahadi zao kwa matendo na sio kwa maneno.
Huyu Kijana mpambanaji anahitaji ushauri wa kulinda polical performance yake.
Huu uzuzu umewashika kweli watu saiv hapa mjini...
Mtu anaweza kufikiri ni media ya maana kweli...