Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
huku kimara stop over kuna vijana kazi yao ni kufukua na kuunganisha mipira na kuwajazia matank watu wenye uwezo. wamehalalisaha kama ndo shughuli yao halali na hakuna hatua zinazochukuliwa. yaani hawana shughuli nyingine zaidi ya hiyo