Wana JF magezeti ya leo asubuhi kupitia Clouds FM yameripoti Mbunge wa Ubungo apondwa mayai viza kisa hajawaletea maendeleo.Wabunge wanapswa kutekeleza ahadi zao kwa matendo na sio kwa maneno.
Huyu Kijana mpambanaji anahitaji ushauri wa kulinda polical performance yake.
Huyu Kijana mpambanaji anahitaji ushauri wa kulinda polical performance yake.