Sam Upendo
Member
- Jan 22, 2012
- 32
- 10
Wanaosema kwamba Mnyika hajaleta maji Ubungo hawajui kazi za mbunge. Kwa ufupi kazi ya mbunge ni kuibana Serikali iliyoko madarakani ili itimize sera zake. Sasa kama CCM wameshindwa kutimiza ahadi zao za baba Mwanaasha wanauhalali gani wa kuendelea kuwepo?au tunasubiri ahadi mpya za kasi mpya mwaka 2015.