FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Kama usingezaliwa, sijui kama ningekuja kupenda.
wakati huo una ndoo ,kidumu na wengine hata huna pa kuwaweka ..
Kama usingezaliwa, sijui kama ningekuja kupenda.
hata nikifa leo lazima nifufuke tuishi pamojaNiliposikia unaumwa, mi tayar nlikuwa nshakufa....ulipopona nami nikafufuka.
Na wote unawaambia hivyo hivyo.wakati huo una ndoo ,kidumu na wengine hata huna pa kuwaweka ..
Hehehehe.... Nimetembea dunia nzima nlikuwa nawaona wasichana tu, mpaka nilipokutana na wewe ndo nikajua nini maana ya mrembo............. hii unawaambia mademu wote unaowatongoza.
Hahahaha.......wizi n'tupu!..... Eti mpenzi we u-mzuri, tangu nizaliwe sijawahi kuona mwanamme mzuri kama wewe. (Hapo ni baada ya kumkatia mkwanja)Nikajua volcano tu ndio zinalipuka, looh! kumbe hata mioyo inalipuka? yaani nikikuona tu moyo unakwenda kasi kuliko danedane za ronaldo.
Khaaaa! hawa jinsia ya upinzani inabidi wapunguze uongo bana
teh honey nguo zako nzuri hapo umepiga pamba kaa mpuliza tarumbetaKuna mwengine anataka hela ya vocha anajifanya kukusimamisha halaf anaanza.
Jamaani! yaani wewe kijana umefanana na lonado di kaprio, khaaa! (wakati mzembe ukijiangalia kwenye kioo unajiona kabisa kwamba umefanana na Kibaki)
Yani mm hapahapa tayari umefanikiwa kunisoundisha! duh! kweli wizi mtupu! nipm bac umalize kabisaBahari ingekuwa wino
Mbingu ziwe karatasi
Miti yote iwe kalamu
Kila mtu duniani awe mwandishi
Kuandika upendo wangu kwako
Wino ungekwisha swit baby
hahahahahahah!....
LILIFLAWA BANA...!
daaaaah!
Ujanja ujanja tu, wizi wizi tu! Ukipekenyua cm yake unakuta kakusave "vocha dar"Hehehehe.... Nimetembea dunia nzima nlikuwa nawaona wasichana tu, mpaka nilipokutana na wewe ndo nikajua nini maana ya mrembo............. hii unawaambia mademu wote unaowatongoza.
Mamito kumbe na wewe ulikuwepo enzi hizo lol! Mzima lakini wewe?Usiku wa jana sijafumba macho nakuwaza wewe tu, teh teh teh kumbe uliamshwa kwa kumwagiwa maji na maza.
au papaaa mchemshoUjanja ujanja tu, wizi wizi tu! Ukipekenyua cm yake unakuta kakusave "vocha dar"
Hahahaha.......wizi n'tupu!..... Eti mpenzi we u-mzuri, tangu nizaliwe sijawahi kuona mwanamme mzuri kama wewe. (Hapo ni baada ya kumkatia mkwanja)
au papaaa mchemsho
Kuna hii moja niliifuma gengeni uswahilini kitambo kidogo.
Kidume: bebii mimi naomba nikufe kabla yako tu kwasababu sitoweza kuishi bila wewe.
Kijike: sweetcake! Mi staki bwana, bora nikufe mimi mwanzo manake hata sjui maisha yatakuwa na thamani gani bila wewe
Mwisho wa kuwanukuu.
unajua uswahilini tena, Baada ya dakika kadhaa akaibuka mbwa koko anakimbizwa na waswahili. Sasa wale wapendanao ile ishu wakaistukizia tu, lahaula skujua kama tanzania tuna wanariadha wazuri kiasi kile aisee, halaf kila mmoja alichukua chochoro yake