Mkuu yaani mi najua ukiitwa babe au swrii jua kuna kamzinga kanakuja
HAHAHAHAH...!
klorokwini umeniacha hoi.......!
mjomba kimey watu wanasave jina lako ''voucher dar''
hahahahaha!
mwingine anakusave jina ''papaa mchemsho''
hahahahahah!...
ngoja nikacheke zaidi
umenipa akili kuna lizee lipo floor ya kumi na moja hapo linanukia noti za epa linanisumbua daily ngoja nikawhisper kidogo nitoke na kibajaji
ahahahahahah!....alaf tulikuwa tunakubali tu...
watu tumepiga sana simu kwenye call boxi za ttcl enzi izo...!and tell you what...''it never worked out''
teh wewe ni psw kwenye maisha yangu ukiondoka maisha yanablock forever siwezi kuishi bila wewehehehe kumekucha, hii nimeipokea sasa ivi naweza nikaiita breaking nyuz.
Twii twii message imeingia.
"mupenzi, mimi bila wewe ni sawa na e mail bila paswedi" .
Dah! Acheni nilog out tu wakuu
bakini salama.
hehehe kumekucha, hii nimeipokea sasa ivi naweza nikaiita breaking nyuz.
twii twii message imeingia.
"Mupenzi, mimi bila wewe ni sawa na e mail bila paswedi" .
Dah! acheni nilog out tu wakuu
bakini salama.
nikifika mbinguni nikikukosa nakuapia lazima nifufukeNiliposikia unaumwa, mi tayar nlikuwa nshakufa....ulipopona nami nikafufuka.
Hahahha mzazi umenikumbusha mambo ya call box yaani kuna call box moja iliwekwa pale bamaga ilimeza sana tusent twangu na tell you what niliishia kunawa tu lol
mimi nimetulia sana mkuu sana tu niombe radhihahahah!...
Naona smile hizi sanaa unazifanya sana....
Maanake unaenda mule mule...!
Pande za huku ni supaaa, ni mambo ya kutegua tu ujanja ujanja wa hawa kina dada
Komaa kabisa kaka,
ukija kwangu siku nyingine uje umevaa la kupanda (kiatu), jaketi na suruali nguo zilikuwa na (zipu nyingiiiii) kama la Michael Jackson, mi sio wa kucehezea chezea!
Nilijibiwa hivo wakati namtokea mtoto mmoja Mkali wa kitaani!
Komaa kabisa kaka,
ukija kwangu siku nyingine uje umevaa la kupanda (kiatu), jaketi na suruali nguo zilikuwa na (zipu nyingiiiii) kama la Michael Jackson, mi sio wa kucehezea chezea!
Nilijibiwa hivo wakati namtokea mtoto mmoja Mkali wa kitaani!
kwa iyo lili flaawa ulikuwa unatumia misemo gani enzi zako?
Mmmh, msinipige
Hii niliipata kwa mmarangu mmoja
"Kila nikikuwaza, namaliza kichanecha ndizi."
huuuuuuuuuuuuuuuu???Mmmh, msinipige
Hii niliipata kwa mmarangu mmoja
"Kila nikikuwaza, namaliza kichanecha ndizi."