klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
hehehe balaateh honey nguo zako nzuri hapo umepiga pamba kaa mpuliza tarumbeta
hehehe balaateh honey nguo zako nzuri hapo umepiga pamba kaa mpuliza tarumbeta
Kamanda,Nakumbuka iliwahi kuletwa mada hapa long time eti kama kuna mamba anataka kuuwa na una uwezo wa kuokoa mtoto au mwenza wako na sio wote, je utamuokoa nani?Kiongozi hahaha chezea kifo wewe?
mbele ya kupiga mzinga sijui hata maneno huwa yanatoka wapi bwanahehehe balaa
Hahaahah acha tu kiongozi, mi ndo maana huwa nawageuzia kibao tu! Wizi wizi ujanja ujanja tuKamanda,Nakumbuka iliwahi kuletwa mada hapa long time eti kama kuna mamba anataka kuuwa na una uwezo wa kuokoa mtoto au mwenza wako na sio wote, je utamuokoa nani?
Mimi nilijibu kiuwazi kabisa kwamba siokoi mtoto wala waifu naingia mitini pekeangu. Chezea kifo wewe
Yupo mdada mmoja alikuwa na staili akitaka kukupiga mzinga anakuja kukushika bega halaf anakuwhisper kwenye sikio na kuling'ata kidogo...... hehehe alinifilisi sana yule dada, popote alipo na yeye namuombea kufilisika. Dah!mbele ya kupiga mzinga sijui hata maneno huwa yanatoka wapi bwana
pesa bandia mkufu bandia mkuu.liwa uliwehahaahah acha tu kiongozi, mi ndo maana huwa nawageuzia kibao tu! Wizi wizi ujanja ujanja tu
Mkuu yaani mi najua ukiitwa babe au swrii jua kuna kamzinga kanakujaYupo mdada mmoja alikuwa na staili akitaka kukupiga mzinga anakuja kukushika bega halaf anakuwhisper kwenye sikio na kuling'ata kidogo...... hehehe alinifilisi sana yule dada, popote alipo na yeye namuombea kufilisika. Dah!
Hii si ilikuwepo hapa juzi, au naota.
Anyway, wewe ndo wa kwanza kukupenda, wengine ilikuwa utoto... Kila nikinywa maji kwenye glas nakuona he he he
Mamito kumbe na wewe ulikuwepo enzi hizo lol! Mzima lakini wewe?
umenipa akili kuna lizee lipo floor ya kumi na moja hapo linanukia noti za epa linanisumbua daily ngoja nikawhisper kidogo nitoke na kibajajiyupo mdada mmoja alikuwa na staili akitaka kukupiga mzinga anakuja kukushika bega halaf anakuwhisper kwenye sikio na kuling'ata kidogo...... Hehehe alinifilisi sana yule dada, popote alipo na yeye namuombea kufilisika. Dah!
pesa bandia mkufu bandia mkuu.liwa uliwe
Hahaahah acha tu kiongozi, mi ndo maana huwa nawageuzia kibao tu! Wizi wizi ujanja ujanja tu
nyie ndo balaa mbona?lakini ninyi wakina dada ninyi...!
Haya jameni...!
je nakupenda kama pilauenzi zandu tosamaganga nlipewa hii na mtoto wa iringa girls (zoo) barua imejaa then ujumbe= nakupenda kama mchuzi wa jogoo. Weashikaji walinicheka mwezi mzima
Pande za huku ni supaaa, ni mambo ya kutegua tu ujanja ujanja wa hawa kina dadaAcha tu huyu mpwa leo kanikumbusha mbali sana.
Mie mzima habari ya pande hizo.