payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
- Thread starter
- #21
Kivp mkuu? Unaweza kutoa mifano michache ili kuweka uzito kwenye hoja yako? Natumai hii habari hapa itawafikia wakuu wa nchi ili nao watafakari. Kwa hivyo ukitoa mchango tafadhali hakikisha kuna evidence.
kwenye muungano, wazanzibari wanatunyonya tu, na ni wakoloni wetu