Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,914
Wakuu habari
Nipo hapa natafakari huu muungano wetu ambao binafsi nauona umekosa usawa kabisa
Kuna hili suala la urais na umiliki wa mali katika Muungano huu.
N rahis kwa mzanzibar kumiliki ardhi TANGANYIKA kuliko MTANGANYIKA kumiliki ardhi Zanzibar
Kama muungano huu n wa usawa mbona una ubaguzi ndani yake nayasema haya nikiwa Zanzibar hapa kiutafutaji toka wiki iliyopita nikajaribu kufuatilia taratibu za umiliki wa ardhi kiukwel n ngumu mno kupata ardhi yaaan watoto wa mjin wanasema kwa mbinde Sana
SUALA LA URAIS. Nalo naona n kizungumkuti Sana kwann watu wabara au Watanganyika hawatakiwi KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR lakini mzanzibar anaruhusiwa kugombea urais TANGANYIKA
RAIS SAMIA amewatoa mashekhe wa uamsho mahabusu lakini ameshindwa kuwatoa mashekhe mbalimbali ambao wapo magereza au mahabusu maeneo mbalimbali Tanzania je Rais huyu yupo kwa maslah ya wazanzibar pekee Kama haki angetenda kwa wote
Tumeona pesa za COVID-19 zilizokopwa zimepelekwa hadi Zanzibar kujenga Shule hospitali je mikopo wanayokopa wenzetu wa Zanzibar lini ililetwa huku bara na sisi tukajenga shule na zahanati?
Huu muungano ni wa kuangaliwa kwa jicho la pili umekuwa wa kuwadekeza Wazanzibar huku TANGANYIKA ikinyonywa
Nipo hapa natafakari huu muungano wetu ambao binafsi nauona umekosa usawa kabisa
Kuna hili suala la urais na umiliki wa mali katika Muungano huu.
N rahis kwa mzanzibar kumiliki ardhi TANGANYIKA kuliko MTANGANYIKA kumiliki ardhi Zanzibar
Kama muungano huu n wa usawa mbona una ubaguzi ndani yake nayasema haya nikiwa Zanzibar hapa kiutafutaji toka wiki iliyopita nikajaribu kufuatilia taratibu za umiliki wa ardhi kiukwel n ngumu mno kupata ardhi yaaan watoto wa mjin wanasema kwa mbinde Sana
SUALA LA URAIS. Nalo naona n kizungumkuti Sana kwann watu wabara au Watanganyika hawatakiwi KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR lakini mzanzibar anaruhusiwa kugombea urais TANGANYIKA
RAIS SAMIA amewatoa mashekhe wa uamsho mahabusu lakini ameshindwa kuwatoa mashekhe mbalimbali ambao wapo magereza au mahabusu maeneo mbalimbali Tanzania je Rais huyu yupo kwa maslah ya wazanzibar pekee Kama haki angetenda kwa wote
Tumeona pesa za COVID-19 zilizokopwa zimepelekwa hadi Zanzibar kujenga Shule hospitali je mikopo wanayokopa wenzetu wa Zanzibar lini ililetwa huku bara na sisi tukajenga shule na zahanati?
Huu muungano ni wa kuangaliwa kwa jicho la pili umekuwa wa kuwadekeza Wazanzibar huku TANGANYIKA ikinyonywa