payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Nawasikia tu viongozi wa zanzibar wakiitawala Tanganyika kwenye nyadhifa mbalimbali. Mfano Mzee mwinyi, shamsi vuai nahodha, gharib Bilal n.k
Je ni lini watanganyika nao watapewa fursa ya kuitawala Zanzibar katika nafasi nyeti kama ilivyo wao huku bara? Au mtindo wetu wa kuitawala zanzibar indirectly unapendeza zaidi?
Je ni lini watanganyika nao watapewa fursa ya kuitawala Zanzibar katika nafasi nyeti kama ilivyo wao huku bara? Au mtindo wetu wa kuitawala zanzibar indirectly unapendeza zaidi?