We naweeee umbea tu lol hupitwi?
Khaaaaa King'asti mbona unantisha? Wivu au? We si ulileta mapozi wacha mwenzio ajirambe meeeeen!
Na huo mgongo mdogo wangu, mmmh! Wanafunzi wanakomaje?Iam a teacher!
usitumie cheo chako km fimbo kaka, charminglady anajua mimi ndo kila kitu.. ntakupicha.duka uonekane umelala mtaroni na viroba mkononi
Iam a teacher!
are you still teaching? As for me,from the day the government dismissed our claims i made a slight change to my career, i switched from teaching to cheating,and i discovered it aint that much different you know!
Nakutua bibi weeee tena kama The secretary alivyomtua Bishanga pwaaaaaaaaaaaaaaaaaNna diploma ya umbea babu eeh, unikome. Na nna mpango wa kufanya masters pia pale magogoni, uwt wananifadhili.
na ujue sionji asali kwa ncha ya kisu mie. Unitue!
Kutana na Madame B hapa,
Nakodishwa kwenye Kusuta Wanawake na Wanaume Wambea,
Bei inategemea na aina ya usutaji.
Karibuni wateja.
Siamini kama nyie ndio Greeat thinkers, mada mmeiona hapo juu ila full kuandika upuuzi... Qu wengi wenu wanafuzi wa sekondari? Mnaiharibu site bna, JF imekua sehemu y matusi, jokes 24/7, hamuwezi mka discuss la maana
unasemaje?Nakutua bibi weeee tena kama The secretary alivyomtua Bishanga pwaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ukikuuma utajiju meeeeeeeeen!
kutana na madame b hapa,
nakodishwa kwenye kusuta wanawake na wanaume wambea,
bei inategemea na aina ya usutaji.
Karibuni wateja.