Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
yote nasuka, hata kilimanjaro, jicho la mke mweza. pia nasokota kama zile za kimasai.
japo sikuamaini ila hebu nikumbushe kwanza, bado ofisi yako ipo pale liberty ama umehamia makoroboi? kama ukiweza kufika pale ngokos karibu na dampo huwa mnapaita nyota ya warembo naweza kukagua kazi zako kama utafaa kumpokea my waifu wangu.... otherwise ataendelea kuhudumiwa pale pale